tony montana
Senior Member
- Oct 16, 2014
- 142
- 38
The High Court isn't a union matter!
The United Republic of Tanzania
In the High Court of Tanzania
(.........Division/Main Registry)
At Dar es Salaam
Atakuwa amekosea. Japo makosa yake hayatakuwa na athari kwenye msingi wa kesi na hivyo anaweza kuomba kufanya marekebisho, akaruhusiwa na akaendelea na kesi.Nashukuru kwa ufafanuzi, swali dogo tu msomi, mtu akiquote in the high court of Tanzania peke yake bila kusema in the United republic of Tanzania atakuwa sawa ?
Atakuwa amekosea. Japo makosa yake hayatakuwa na athari kwenye msingi wa kesi na hivyo anaweza kuomba kufanya marekebisho, akaruhusiwa na akaendelea na kesi.
Nikiweza kuscreen shot regulations za citation nitakutumia pm.
Tafuta circular ya registrar wa High Court ya 2015 ....ni THE HIGH COURT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.