Citation of the court

tony montana

Senior Member
Joined
Oct 16, 2014
Posts
142
Reaction score
38
Habari za mchana mawakili wasomi na wadau wengine katika fani ya sheria.

Naombeni msaada wa ufafanuzi ni ipi proper citation ya high court kati ya hizi:
(a) in the high court of the united republic of Tanzania au
(b) in the high court of Tanzania

Ninaomba ufafanuzi huo kwa kuzingatia kuwa nimeona preliminary objection nyingi ambazo zimekuwa raised juu ya hizo citation

Nikipata msaada wa authority nitashukuru pia.

Naomba kuwasilisha.
 
The United Republic of Tanzania

In the High Court of Tanzania

(.........Division/Main Registry)

At Dar es Salaam
 
The United Republic of Tanzania

In the High Court of Tanzania

(.........Division/Main Registry)

At Dar es Salaam

Nashukuru kwa ufafanuzi, swali dogo tu msomi, mtu akiquote in the high court of Tanzania peke yake bila kusema in the United republic of Tanzania atakuwa sawa ?
 
Nashukuru kwa ufafanuzi, swali dogo tu msomi, mtu akiquote in the high court of Tanzania peke yake bila kusema in the United republic of Tanzania atakuwa sawa ?
Atakuwa amekosea. Japo makosa yake hayatakuwa na athari kwenye msingi wa kesi na hivyo anaweza kuomba kufanya marekebisho, akaruhusiwa na akaendelea na kesi.

Nikiweza kuscreen shot regulations za citation nitakutumia pm.
 
Atakuwa amekosea. Japo makosa yake hayatakuwa na athari kwenye msingi wa kesi na hivyo anaweza kuomba kufanya marekebisho, akaruhusiwa na akaendelea na kesi.

Nikiweza kuscreen shot regulations za citation nitakutumia pm.

Natanguliza shukurani msomi.
 
Tafuta circular ya registrar wa High Court ya 2015 ....ni THE HIGH COURT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…