Citizen Tv na habari za ombaomba wa kukodishwa.

Hivi ninyi wakenya kwani ombaomba wote hapo Nairobi au miji mingine ni kutoka Tz pekee. ?
Ni kweli, karibia wote! Wale ambao ni wakenya kati yao utawajua tu hawana lugha ya kuomba, utaskia wewe! Leta mbao! Hehe. 😀 Ate waat!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…