Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,023
Salaam Wakuu.
Naamini mko salama.
Citizen Tv Kenya wako mubashara na mchakato wa kuwahoji wateule wa rais ktk nafasi za uwaziri wa serikali ya kenya.
I wish na nchi yetu ingefika huku ili mtu akipita na kushika public office awe amechekechwa haswa, na aonyeshe uwezo wake na uelewa wake wa mambo na sisi wananchi tuone.
Naamini mko salama.
Citizen Tv Kenya wako mubashara na mchakato wa kuwahoji wateule wa rais ktk nafasi za uwaziri wa serikali ya kenya.
I wish na nchi yetu ingefika huku ili mtu akipita na kushika public office awe amechekechwa haswa, na aonyeshe uwezo wake na uelewa wake wa mambo na sisi wananchi tuone.