Civil au biomedical equipments engineering!?

Wachaka

Senior Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
107
Reaction score
23
kwa mara nyngne wadau!najua hiz koz zot ni nzur lkn vitu huzidiana!so nahitaj ushaur kabla ya maamuz,ip n nzur zaid(interms of every thing)ushauri wakubwa.
 
kwa mara nyngne wadau!najua hiz koz zot ni nzur lkn vitu huzidiana!so nahitaj ushaur kabla ya maamuz,ip n nzur zaid(interms of every thing)ushauri wakubwa.

Soma civil engineering inauwanja mpana sana mkuu
 
kwa mara nyngne wadau!najua hiz koz zot ni nzur lkn vitu huzidiana!so nahitaj ushaur kabla ya maamuz,ip n nzur zaid(interms of every thing)ushauri wakubwa.

.
Ndugu sekta ya afya kama unavyo ijua!
Wagonjwa wanaongezeka
Madactari wanahitajika! Kila siku!
Na
Wakutengeneza zile mashine za X-Ray ndo wewe wa biomedical!

Uamuzi ni wako
 
Wewe mleta mada hicho Kiingereza cha "Equipments" umekitoa wapi? Kwenye kiingereza hakuna kitu kinaitwa hivyo. Ukipenda fanya consultation na mwalimu wako wa hiyo lugha.

Tiba
 
.
Toa fact !
Sio unatema blah blah ! Tu

Mbona unatoka povu kijana...
Hiyo course bio nini sijui inakufanya uwe mtumwa wa ajira...
Kama bado upo darasani huwezi nielewe njoo mtaani ndio utaelewa dogo...
SAUWAA
 
Piga Civil Engineering dogo, iko wide na very marketable.
 
Mimi nasoma civil ila siamini amini hivi kama ajira zetu si za kutesa. Ila sioni wahitimu wengi wa hizi fani zetu wakiomba kazi. Uzuri wa hii course inagusa mahitaji nyeti ya binadamu suala la makazi ni nyeti sana watu wanajenga kila kukicha. Miji inapanuka uhitaji wa wataalamu wa civil ni mkubwa bado
 
Ninasoma bado sija jiajiri wala kuajiriwa ila sijutii kusoma civil nikiangalia present na future.
Karibu Civil Engineering Ndugu
 
Wewe mleta mada hicho Kiingereza cha "Equipments" umekitoa wapi? Kwenye kiingereza hakuna kitu kinaitwa hivyo. Ukipenda fanya consultation na mwalimu wako wa hiyo lugha.

Tiba

msipende kuleta utaalamu wenu katika lugha kama umeelewa basi toa maoni na kama hujaelewa unaachana nay
 
msipende kuleta utaalamu wenu katika lugha kama umeelewa basi toa maoni na kama hujaelewa unaachana nay

Sasa povu la nini. Usipokosolewa utajifunza vipi. Kupitia kukosolewa, unapata nafasi ya kujifunza. Kwangu mimi sio busara kuona mtu amekosea ukamuacha tu bila kumwambia wapi amekosea. Nina imani na wewe umepata nafasi ya kujua kwamba hakuna kitu kinaitwa Equipments.

Tiba
 
if you have nothing to contribute just keep calm!ok n typing error.lkn nkisema "laboratory equipments"itakuwa nmekosea?ikiwa neno eqmnts halipo ktk kiingereza!?this is not language forum!just your views or keep calm behind the speaker!@Tiba
 
Mbona unatoka povu kijana...
Hiyo course bio nini sijui inakufanya uwe mtumwa wa ajira...
Kama bado upo darasani huwezi nielewe njoo mtaani ndio utaelewa dogo...
SAUWAA

.
Civil mmejazana kibao watu na madegree yao!
na siku hizi kila mtu anataka civil, walio na maono ya mbele wataelewa!

Na uhitaji wa biomedical engeneers ni mkubwa! Hilo huwezi kubisha!
Ila siyo wewe unae isifia with nonsense facts!
 
.
Civil mmejazana kibao watu na madegree yao!
na siku hizi kila mtu anataka civil, walio na maono ya mbele wataelewa!

Na uhitaji wa biomedical engeneers ni mkubwa! Hilo huwezi kubisha!
Ila siyo wewe unae isifia with nonsense facts!
haya mtoto mzuri...
 
Bio medical engineering?!!! Uta engineer nini wakati maintenance ya vifaa inafanywa na kampuni husika ?

Soma civil dogo.Civil is the oldest engineering field
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…