Grader
JF-Expert Member
- Feb 23, 2009
- 445
- 64
Anahitajika civil engieer awe na sifa zifuatazo;
1.Awe na miaka kati ya 25-40.
2.Mtanzania.
3.Any field kati ya Transportation,Structural au Water resources.
4.Aliyesajiriwa na ERB is adventegeous.
5.Atakayekubali kufanya kazi popote hapa TZ.
6.Wanawake watapewa kipaombele.
7.Uzoefu ni muhimu katika nyanja ya design ,management au construction industry.
8. Anayejua kuongea kiingereza na kiswahili vizuri.
9.Computer literature hasa software ni muhimu
10.Salary ni negeotiable pamoja na fringe benefit nyingine.
kwa mawasiliano zaidi.
+255783833255/755113524/652370498.
1.Awe na miaka kati ya 25-40.
2.Mtanzania.
3.Any field kati ya Transportation,Structural au Water resources.
4.Aliyesajiriwa na ERB is adventegeous.
5.Atakayekubali kufanya kazi popote hapa TZ.
6.Wanawake watapewa kipaombele.
7.Uzoefu ni muhimu katika nyanja ya design ,management au construction industry.
8. Anayejua kuongea kiingereza na kiswahili vizuri.
9.Computer literature hasa software ni muhimu
10.Salary ni negeotiable pamoja na fringe benefit nyingine.
kwa mawasiliano zaidi.
+255783833255/755113524/652370498.