Clatous Chama ametua nchini kujiunga na klabu ya Simba

Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
 
Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
Wanajiingiza wenyewe, hakuna sehemu uongozi umesema chama karudi
 
Ni upumbavu mtupu kufurahia kumrejesha kwenye klabu mchezaji mliyeuumza miezi sita iliyopita.
Tujiulize hili swali, kwanini Chama aliuzwa jana halafu leo tunamnunua tena?
Makambo aliuzwa leo hii Yuko Yanga na tunafurahia uwepo wake. Ila simba wakiuza Halafu wakamrejesha mchezaji huyo inakuwa nongwa. Ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
 
Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
Yanga waliokuwa na akili timamu ni wawili tu, Sunday na Kikwete, waliobaki wote hamnazo..! (yaani hawana akili sawa sawa)

Tafakari kwanza hii kauli ya Msemaji wa Yanga Haji Manara, halafu ndo uje hapa ubaoni.
 
Kama kuna mijitu yenye nongwa tz nzima basi ni mishabiki ya yanga, yenyewe yamemrudisha makambo lakini yapo kimya ila Simba kumrudisha chama yanatokwa povu utadhani kitu gani, yule kocha wao aliyewaita nyani na mbwa hakukosea hata kidogo. Pumbav
 
Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
wajinga sana yaani ishu ya morison tulidanganywa morison ni mchezaji wetu mpaka tukalipa pesa cas halafu akatushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…