kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
Hii ndio. Habari ya uhakika chama kashatuaFb huwa siwaamini
Kama mshabiki wa Simba Hii ni aibu kubwa tujiulize kwanza kwa nini aliuzwa na arejeshwa kisa nini?Habari zilizotufikia ni kuwa tayari clatous chama ametua nchini kujiunga na klabu ya simba kama mchezaji wao mpya pia ili limethibitishwa na kamwaga msemaji wa simba piga makofii kwa simba management kwa kumleta chamaView attachment 2050274View attachment 2050275
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Sioni ezekiel aliposema chama karudiHabari zilizotufikia ni kuwa tayari clatous chama ametua nchini kujiunga na klabu ya simba kama mchezaji wao mpya pia ili limethibitishwa na kamwaga msemaji wa simba piga makofii kwa simba management kwa kumleta chamaView attachment 2050274View attachment 2050275
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Wanajiingiza wenyewe, hakuna sehemu uongozi umesema chama karudiYaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
Makambo aliuzwa leo hii Yuko Yanga na tunafurahia uwepo wake. Ila simba wakiuza Halafu wakamrejesha mchezaji huyo inakuwa nongwa. Ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyeweNi upumbavu mtupu kufurahia kumrejesha kwenye klabu mchezaji mliyeuumza miezi sita iliyopita.
Tujiulize hili swali, kwanini Chama aliuzwa jana halafu leo tunamnunua tena?
Kama alivyosema Manara ?Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
Sisi uto luc emery alitupatia sana tulimuuza makambo tumemrudisha tena ila simba kumrudisha chama ni nongwa
Sisi ni uto kweli.
Umelazimishwa popote pale Uiamini?Hiyo ni habar yakuaminika kweli?
Yanga waliokuwa na akili timamu ni wawili tu, Sunday na Kikwete, waliobaki wote hamnazo..! (yaani hawana akili sawa sawa)Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
wajinga sana yaani ishu ya morison tulidanganywa morison ni mchezaji wetu mpaka tukalipa pesa cas halafu akatushindaYaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa