Clatous Chama ametua nchini kujiunga na klabu ya Simba

Clatous Chama ametua nchini kujiunga na klabu ya Simba

Yaan hakuna mashabiki wajinga duniani kama wa simba!! Kila siku wanaingizwa cha kikee adi huruma daa
Sikumbuki mara ya mwisho mtu mwenye akili timamu kupatikana huko usukuleni ni lini. Mwongaza misukule alishasema ; Kule usukuleni mwenye akili ni Sunday Manara kidogo na JK. Sasa wewe unaropoka tu wakati ukweli unaujua kwamba mautopolo yote hamnazo. Ni kama mifuga mbwa vile.
 
Yanga waliokuwa na akili timamu ni wawili tu, Sunday na Kikwete, waliobaki wote hamnazo..! (yaani hawana akili sawa sawa)

Tafakari kwanza hii kauli ya Msemaji wa Yanga Haji Manara, halafu ndo uje hapa ubaoni.
Mkuu , mbona unapiga za uso kwa nguvu kiasi hicho? Huoni kwamba utamuumiza mwenzio?
 
Uto roho zinawauma kisa Chama jr anataka kurudi Unyamani mbona nyie mumemrudisha Makamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom