Clatous Chama na taste ya NBC premier league

Halafu unakuta mla mihogo anamlinganisha na Aziza ambaye akitaka kupiga chenga hadi akunje bukta na kuuma meno utadhani anaruka miruko ya juu.(highjump)

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Naongelea ipi kivipi! Na wakati tangu aliporudi kutoka Berkane, mlimbatiza jina la kiungo konokono!

Na hata hizo assist sijui ndiyo zipi hizo! Au ni kwenye mechi mlijitutumua, na kupata sare? Maana zaidi ya hapo mliishia tu kufungwa.
Mtu wa mpira haongea maneno hayo,acha mapenzi chama ni mchezaji wa daraja la juu sana Tanzania
 
Upuuzi mwingine bana😅, huyu kashindwa kucheza Berkane ndio anafananishwa na Messi au Iniesta??. Punguzeni mihemko ya kipuuzi, amecheza na timu gani bora?. Mechi ya yanga mbona alikuwa mtalii, vipi mechi ya Azam?.
Kisinda ni bora kuliko chama
 
Sasa mbona kwenye mechi za derby huwa anatolewa dakika ya 60! Tena mashabiki mlikuwa mnamuita kiungo konokono! Mara hii amegeuka na kuwa taste ya NBC Premier League!!

Mashabiki wa simba ni zaidi ya viumbe wasahaulifu.
Uyanga utakutesa wewe babu kizee
 
Angeyathibitisha haya huko alikoshindwa, kumpa sifa kwa timu dhaifu jama Ruvu 😅😅, huo uwezo mbona hatukuona kwa Azma, yanga.
 
Sasa mbona kwenye mechi za derby huwa anatolewa dakika ya 60! Tena mashabiki mlikuwa mnamuita kiungo konokono! Mara hii amegeuka na kuwa taste ya NBC Premier League!!

Mashabiki wa simba ni zaidi ya viumbe wasahaulifu.
Derby mbili back to back anatoa assist tena za viwango haswaa unataka afanye kitu gani haswa kwa nafasi yake uwanjani?
 
Upuuzi mwingine bana[emoji28], huyu kashindwa kucheza Berkane ndio anafananishwa na Messi au Iniesta??. Punguzeni mihemko ya kipuuzi, amecheza na timu gani bora?. Mechi ya yanga mbona alikuwa mtalii, vipi mechi ya Azam?.
Ile assist ya unoko alitoa nani?
 
Ngada FC mnavituko aisee , hebu acha maneno yako ya kwenye vijiwe vya kawahawa vya karume hapa
 
Chama ni mzuri akikutana na timu mbovu
 
Derby mbili back to back anatoa assist tena za viwango haswaa unataka afanye kitu gani haswa kwa nafasi yake uwanjani?
Sasa mjiulize wenyewe kwa nini mlimuita kiungo konokono.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,huyu mwamba ameshaonesha uwezo ktk mechi kubwa nyingi tu akiwa Simba.
Rejea mechi ya Nkana,As vita n.k,hiyo Derby ni mechi iliyojaa mauzauza mengi kuliko uhalisia
Sasa mbona kwenye mechi za derby huwa anatolewa dakika ya 60! Tena mashabiki mlikuwa mnamuita kiungo konokono! Mara hii amegeuka na kuwa taste ya NBC Premier League!!

Mashabiki wa simba ni zaidi ya viumbe wasahaulifu.
 
Upuuzi mwingine bana😅, huyu kashindwa kucheza Berkane ndio anafananishwa na Messi au Iniesta??. Punguzeni mihemko ya kipuuzi, amecheza na timu gani bora?. Mechi ya yanga mbona alikuwa mtalii, vipi mechi ya Azam?.
Mechi na yanga alitoa pasi ya goli Huku amezungukwa na mabeki 3
 
Ngada FC, Sembe FC, Pusha FC wanasumbua sana hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…