Clatous Chama ni mchezaji mzuri. Mimi sipendi aendelee kuwa Simba

Clatous Chama ni mchezaji mzuri. Mimi sipendi aendelee kuwa Simba

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huyu jamaa,

Natamani aondoke Simba. Simpendi kwa kuwa ni mchezaji mzuri. Akiamua huwa anafanya mambo ambayo ni ngumu kuelezea.

Ninamwangalia hapa sijui tungempata Yanga huyu ingekuwa moto zaidi.

Ni bonge la mchezaji.
 
Si alienda berkqne akakosa namba au hukumbuki?
 
Chama hapati namba Yanga, tafadhali.

Kiufupi kabisa hakuna mchezaji yeyote wa Simba anayeweza kupata namba kwenye kikosi cha kwanza Yanga.
 
Chama hapati namba Yanga, tafadhali.

Kiufupi kabisa hakuna mchezaji yeyote wa Simba anayeweza kupata namba kwenye kikosi cha kwanza Yanga.
Mtani unachekesha wee, si ni huyu mna msajiri kila mwaka kila anachezea Simba. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chama ana avarage perfomance nzuri hili linambeba ,ila Pacome akicheza misimu mingi Bongo record za Chama anazivunja zote... Shida ya Chama kwasasa uwezo wake unaonekana kwenye timu dhaifu.
Safi unajua mpira.
 
Si alienda berkqne akakosa namba au hukumbuki?
Unamjua shevchenko, unamjua juan sebastian VERON, unamjua fernando torres wewe, waulize manchester walichokipata kwa alexis sanchez, Ricardo kaka real madrid pale..
 
  • Thanks
Reactions: K11
Huyu jamaa,

Natamani aondoke Simba. Simpendi kwa kuwa ni mchezaji mzuri. Akiamua huwa anafanya mambo ambayo ni ngumu kuelezea.

Ninamwangalia hapa sijui tungempata Yanga huyu ingekuwa moto zaidi.

Ni bonge la mchezaji.
Vipi kwa Asec Chama si alicheza? alifanya haya alio yafanya leo? Huyo Chama ni Bora kwenye timu dhaifu, nangojea uboea wake kwenye Robo fainali
 
Naona wa simba mmejinyoa na kuvaa usemaji wa yanga ni kama genta mzee wa kubadili id,, id ya genta inamfuata kwenye id mpya hahahaha
 
Chama hapati namba Yanga, tafadhali.

Kiufupi kabisa hakuna mchezaji yeyote wa Simba anayeweza kupata namba kwenye kikosi cha kwanza Yanga.
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Back
Top Bottom