Clatous Chota Chama afunguka, asema hakuna haja ya kunyoosheana vidole

Clatous Chota Chama afunguka, asema hakuna haja ya kunyoosheana vidole

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Chama.JPG
Nyota wa Simba SC, Clatous Chota Chama ameomba kuungana katika nyakati hizi ambazo kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale tangu kumalizika kwa Derby Ya Kariakoo Novemba 5, 2023.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chama ameandika “Katika nyakati hizi hakuna haja ya kunyoosheana vidole na kutupiana lawama, haitotusaidia kwa namna yoyote ile. Huu ni wakati sahihi wa kushikamana pamoja na kuunganisha nyoyo zetu. Twendeni tena leo tukiwa na nguvu moja na kufanya kazi ili kurejea katika ari yetu”
 
Nyota wa Simba SC, Clatous Chota Chama ameomba kuungana katika nyakati hizi ambazo kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale tangu kumalizika kwa Derby Ya Kariakoo Novemba 5, 2023.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chama ameandika “Katika nyakati hizi hakuna haja ya kunyoosheana vidole na kutupiana lawama, haitotusaidia kwa namna yoyote ile. Huu ni wakati sahihi wa kushikamana pamoja na kuunganisha nyoyo zetu. Twendeni tena leo tukiwa na nguvu moja na kufanya kazi ili kurejea katika ari yetu”
Sawa, tunasubiri mtakachokionesha leo pia
 
mi nawashangaa wale wanaotafuta vijisababu kwanini Simba imefungwa goli tano, udhaifu wa Simba ulikuwepo muda mrefu lakini kwa sababu hatuna uongozi makini walishindwa kufatilia ili warekebishe tatizo. Waliokuwa wakilalamika kwa kiasi kikubwa ni mashabiki ila viongozi na mwekezaji janjajanja walikuwa wanawaza namna ya kupiga pesa. Sema kinachouma hiki kipigo tumepewa kwenye mechi na mpinzani wa jadi.
 
Nyota wa Simba SC, Clatous Chota Chama ameomba kuungana katika nyakati hizi ambazo kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale tangu kumalizika kwa Derby Ya Kariakoo Novemba 5, 2023.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chama ameandika “Katika nyakati hizi hakuna haja ya kunyoosheana vidole na kutupiana lawama, haitotusaidia kwa namna yoyote ile. Huu ni wakati sahihi wa kushikamana pamoja na kuunganisha nyoyo zetu. Twendeni tena leo tukiwa na nguvu moja na kufanya kazi ili kurejea katika ari yetu”
Matured player. Akili yake inaizidi ile ya Popoma kwa 200%
 
Tuipe pole Namungo!! Ina bahati mbaya ya kukutana na Simba yenye hasira za kujeruhiwa!! Hasdira zote zitaishia kwa Namungo!!
Nani hajui Namungo ni tawi lenu kama ilivyo coastal union? Kila mkikutana ni kujipigia tu. Hakuna jipya hapo!
 
Nyota wa Simba SC, Clatous Chota Chama ameomba kuungana katika nyakati hizi ambazo kumekuwa na minong’ono ya hapa na pale tangu kumalizika kwa Derby Ya Kariakoo Novemba 5, 2023.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Chama ameandika “Katika nyakati hizi hakuna haja ya kunyoosheana vidole na kutupiana lawama, haitotusaidia kwa namna yoyote ile. Huu ni wakati sahihi wa kushikamana pamoja na kuunganisha nyoyo zetu. Twendeni tena leo tukiwa na nguvu moja na kufanya kazi ili kurejea katika ari yetu”
Hamjasema bado kabisa bado mno.
 
Back
Top Bottom