mtoto mpole
JF-Expert Member
- Mar 22, 2010
- 678
- 148
Wazima wandugu....nilikua nataman sana kuanzisha kampuni ya usafi...sasa naombeni idea yenu hii kitu inatakiwa kufanyaje...nilikua na wazo la kuisajili...kutafuta ofisi ila sijui mchakato wowote na with 5M naeza kuanza?msaada tafadhali wa mawazo