Wadau naomba msaada nataka kufungua company ya clearing and forwarding, kwa mwenye uzoefu naomba, whole process plse na pia naomba kujua vizingiti ambavyo vitafanya nisiweze kufanikiwa au vitakavyo nisaidia kufanikiwa i mean challenges zake, tusaidiane ili tuweze kusaidia hata wadogozetu ambao hawaja ajiliwa bado tafadhali
ahsanten.
Wadau naomba msaada nataka kufungua company ya clearing and forwarding, kwa mwenye uzoefu naomba, whole process plse na pia naomba kujua vizingiti ambavyo vitafanya nisiweze kufanikiwa au vitakavyo nisaidia kufanikiwa i mean challenges zake, tusaidiane ili tuweze kusaidia hata wadogozetu ambao hawaja ajiliwa bado tafadhali
ahsanten.
Bei za BRELA ndo' hizo hapo kwa viambatanisho,zinatofautiana kulingana na mtaji (nominal share capital).Bei za mihuri ya mawakili na kazi yenyewe ya kudraft Memorandum & Articles ni maelewanoGjuma in order to get it startup,how much is needed <cash> or around figure plz
Mkuu nakupa heshima zako.Mimi naweza kukusaidia kwenye mchakato mzima kuanzia name search,memorandum and articles of association mpaka pale utapewa certificate of Incorporation na BRELA.We niPM au nipigie simu namba 0769210807 tushauriane
mkuu kwanini usimwage data hapa ili wengine tupate faidika pia au ndio unataka ukapige pesa hapo hapo??
Kuna masharti mengi sana siku hizi.Mojawapo ni kufanya na kufaulu mtihani maalumu unaotolewa na TRA pia kuwa umesoma course ya Clearing and Forwading.Vinginevyo ununue kampuni iliyosajiliwa tayari.Cha msingi jitoe uvivu na ufike hapo TRA makao makuu upate details zaidi.
NB: Huu mtihani hautolewi mara kwa mara.Huwa wanatangaza wenyewe TRA.Na kwa taarifa nilizo nazo haujafanyika miaka kama 2.
Mkuu nakupa heshima zako.Mimi naweza kukusaidia kwenye mchakato mzima kuanzia name search,memorandum and articles of association mpaka pale utapewa certificate of Incorporation na BRELA.We niPM au nipigie simu namba 0769210807 tushauriane
watu wapo kimaslahi zaidi ndugu yangu.
Bei za BRELA ndo' hizo hapo kwa viambatanisho,zinatofautiana kulingana na mataji (nominal share capital).Bei za mihuri ya mawakili na kazi yenyewe ya kudraft Memorandum & Articles ni maelewano
Soma hapo kwenye red.kasema "atamsaidia"
Mkuu habari? Vipi wameanza kuruhusu kwa watu wa mikoani kuchukua leseni ya hii biashara? Ama bado ni LAZIMA UWE NA OFISI MAENEO YA POSTA TU?Kuna masharti mengi sana siku hizi.Mojawapo ni kufanya na kufaulu mtihani maalumu unaotolewa na TRA pia kuwa umesoma course ya Clearing and Forwading.Vinginevyo ununue kampuni iliyosajiliwa tayari.Cha msingi jitoe uvivu na ufike hapo TRA makao makuu upate details zaidi.
NB: Huu mtihani hautolewi mara kwa mara.Huwa wanatangaza wenyewe TRA.Na kwa taarifa nilizo nazo haujafanyika miaka kama 2.