Kuna mtu alikuwa anaiuza alitangaza hapahapa Jf jaribu ku search
wateja unao? angalia isikubumie. mia
ukipata unipe kazi ya kwenye icd's. kesho nikienda mjini ntakusaidia kutafuta. miaWateja wapo mkuu, hapo nishindwe mwenyewe
ukipata unipe kazi ya kwenye icd's. kesho nikienda mjini ntakusaidia kutafuta. mia
nakutakia mafanikio ukifanikiwa unipe kazi ya kubeba makontena na kusafirisha.
lakini inabidi uwe mpole sababu sasa hivi hawasajili makampuni mapya so kupata itakusumbua sana na hata ukipata itakua bei. wewe una offer kiasi gani?. kuwa mwangalifu sababu makampuni mengi ya clearing yanadaiwa hela nyingi so jihadhari na kampuni zenye madeni. miaMia mia chief