Clearing charges

baby v

Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
40
Reaction score
21
Habar za muda wakuu,

Mimi nina shida. Nimeagiza IST yangu soon inafika. Naomba kufahamishwa gharama nitakazolipia hadi kupokea gari, nje ya zile za kikokotoo cha TRA kwa sababu hizo nazijua tayari

Asanteni.
 
nimeagiza ist yangu soon inafika!! Naomba kufahamishwa gharama ntakazolipia hadi kupokea gari!!!
Utatakiwa kulipia

1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no + Registration

Hapo andaa kama TZS 750,000 ,
Hapo utakuwa umefanikiwa kuiweka gari barabarani,
Na kinachobakia ni gharama za BIMA tu, ambazo hutegema ni bima ipi utaweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…