Clement Mzize Asilimu na kuwa Muislam

Clement Mzize Asilimu na kuwa Muislam

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
@yangasc1935 @CLEMENTINHO49 amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.



#ClementMzize #Yanga #Islam
3027AF60-DCE9-4D8A-88A2-5417BC534B32.jpeg
 
Back
Top Bottom