Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
@yangasc1935 @CLEMENTINHO49 amebadili dini na kuwa muislamu hii leo mbele ya Kaimu Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Walid Alhad Omari, ikiwa ni siku ya kwanza ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.
#ClementMzize #Yanga #Islam
Mzize kwa sasa atakuwa akitumia jina la Walid Mzize.
#ClementMzize #Yanga #Islam