Yusuph p. Kisunzu
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 120
- 9
Jamani wana Jf kwa aliyekwisha fuatilia thead yangu ya hapo nyuma iliyokuwa imeandikwa kwa kichwa hiki "NAKARIBIA KUFUKUZWA CHUONI NISAIDIENI MWENZENU"
mtu wa Mungu wa humu humu Jf alinisaidia nikalipa ada iliyokuwa imebaki. Sasa bado ya mwaka wa Mwisho yaani second year unaonaoanza mapema mwezi wa tisa. Na hapa sina tumaini la kuipata ada popote.
Msaada kwenu kwa anayewiwa au anaefahamu wapi pa kupata msaada kama huo wa hitaji langu anisaidie.
SHUKURANI KWA ALIYENISAIDIA NA ANAYEPANGA KUNISAIDIA.
Sina lolote wala chochote,namshukuru Mungu kwa kuwa naelekea kumaliza huu mwaka wa kwanza.
Kiasi ni laki 7 yaani 350,000 first semister na 350,000 second semister. Nipo chuo cha serikali ambacho ni Kigoma Clinical Assistant Training Centre.
Mawasiliano yangu ni;
0763631449,
0789958440 au kwa barua pepe
yusuphpk@gmail.com.
Anwani ya chuo ni
Chuo cha Maafisa Tabibu,
S.L.P 548,
KIGOMA.
mtu wa Mungu wa humu humu Jf alinisaidia nikalipa ada iliyokuwa imebaki. Sasa bado ya mwaka wa Mwisho yaani second year unaonaoanza mapema mwezi wa tisa. Na hapa sina tumaini la kuipata ada popote.
Msaada kwenu kwa anayewiwa au anaefahamu wapi pa kupata msaada kama huo wa hitaji langu anisaidie.
SHUKURANI KWA ALIYENISAIDIA NA ANAYEPANGA KUNISAIDIA.
Sina lolote wala chochote,namshukuru Mungu kwa kuwa naelekea kumaliza huu mwaka wa kwanza.
Kiasi ni laki 7 yaani 350,000 first semister na 350,000 second semister. Nipo chuo cha serikali ambacho ni Kigoma Clinical Assistant Training Centre.
Mawasiliano yangu ni;
0763631449,
0789958440 au kwa barua pepe
yusuphpk@gmail.com.
Anwani ya chuo ni
Chuo cha Maafisa Tabibu,
S.L.P 548,
KIGOMA.