I ihagaa JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 250 Reaction score 174 Nov 25, 2016 #1 Naomba mnisaidie MTU wa diploma hii mshahara ni kiasi gani
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Nov 25, 2016 #2 Mshahara una tofautiana depending na ulipoajiriwa Ila hii kazi kama ni mtu wa kupenda sana pesa itakushinda
Mshahara una tofautiana depending na ulipoajiriwa Ila hii kazi kama ni mtu wa kupenda sana pesa itakushinda
M Mosile Member Joined Jul 31, 2015 Posts 8 Reaction score 8 Nov 25, 2016 #3 Usifikirie kuajiriwa. Change your mind set, sahiv tz imebadilika. Ukijiajiri is the best aidea
Ghulaam JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 1,861 Reaction score 1,461 Nov 26, 2016 #4 680000 basi salary wakikata nadhani unabaki kama na laki 547000
Zilpah Member Joined Oct 12, 2016 Posts 95 Reaction score 57 Nov 30, 2016 #5 Ghulaam said: 680000 basi salary wakikata nadhani unabaki kama na laki 547000 Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu unakatisha tamaa
Ghulaam said: 680000 basi salary wakikata nadhani unabaki kama na laki 547000 Click to expand... [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu unakatisha tamaa
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Nov 30, 2016 #6 Zilpah said: [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu unakatisha tamaa Click to expand... Ndio ukweli huo,si umeona serikali inavyodaka kodi nowdays...Sema vipart time ni vingi kwa hawa watu anaweza kuwa na laki sita nyingine kwenye kijiwe cha jioni
Zilpah said: [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu unakatisha tamaa Click to expand... Ndio ukweli huo,si umeona serikali inavyodaka kodi nowdays...Sema vipart time ni vingi kwa hawa watu anaweza kuwa na laki sita nyingine kwenye kijiwe cha jioni