Mimi ni msichana miaka 27 nipo dar, ni proffesional CLINICAL OFFICER-Graduated in Kenya...wenye hospitali au dispensary kama mnahitaji nipigie au sms-0719 575791
Kazi katika sekta ya afya sio za kutafuta bali zenyewe ndo zinatafua watu, nenda wizara ya afya wakakupangie kituo kama kweli unasifa achana na vizahanati uchwara utakufa njaa