Clone ipi ya Creed Aventus kali na unayoikubali?

Clone ipi ya Creed Aventus kali na unayoikubali?

Joined
Mar 6, 2020
Posts
50
Reaction score
103
Hallo Waungwana.

Kwa wale wapenzi wa Colognes, linapokuja jina la Creed Aventus kila Mtu ananyosha mikono juu: namna hii cologne inavyosifika na kupendwa duniani kote. Wengi husema Creed Aventus ni Mchawi kinoma kati ya Wachawi wa Colognes wote waliopata kutokea katika hii dunia.

Nisiongee Mengi. Ila nataka kujua,
Kutokana na hii cologne wengi kushindwa ku afford kuinunua, wengi wamekuwa wakinunua Clones, kwa maana ya baadhi ya makampuni wamejaribu kutengeneza kitu kinachofanana na Creed Cologne.
Zipo products kama Vile Explorer, Sauvage, Vintage, Mancera, na nyinginezo nyingi ambazo zinajaribu kuiga na kutaka kufanana na Creed Aventus.

Je! Ulishawahi kutumia moja ya hizo clones?
Je ni clone ipi inayokuvutia na ambayo ungeweza kupendekeza kwa wengine kutumia?



Screenshot_20200428-161347_Chrome.jpg
Screenshot_20200428-161210_Chrome.jpg
Screenshot_20200428-161246_eBay.jpg


Sent using [Iphone XS Max]
 

Attachments

  • Screenshot_20200428-161415_Chrome.jpg
    Screenshot_20200428-161415_Chrome.jpg
    25.1 KB · Views: 26
Hivi Creed Aventus inaendaje dukani,maana kuna jamaa aliniambia kuna wabongo wanazo za kupima au ndio hizo clones...?
 
Hivi Creed Aventus inaendaje dukani,maana kuna jamaa aliniambia kuna wabongo wanazo za kupima au ndio hizo clones...?
HAPO JUU KUNA SEHEMU IMEANDIKWA 370 USD roughly kwenye 900,000 hivi
 
Aisee, kuna jamaa yuko block jiran ni njian nikiwa napita huwa naiskia njian kwa nje ivi, leo usk nimeenda kumuulizia ni kitu gn Iyo akanambia ni ilo dude mzee( creed aventus), ila yake ni vile vyembamba vi smart collection lkn kanaonekana ni og huwa kananidusturb sn kisaikolojia nikiwa nakatiza anga izo.

Na kuna nyngne nilimskia mshkj iv inawasumbua wengi sn kzn yn jamaa akipita ivi huwa anaacha harufu km dk 15 iv njia nzima inanukia akanambia inaitwa: MALIZIA OUMO iko mixer na issey miyake ivi nishafanya mipango jamaa ananletea kesho mchana ivi, nilishakutana na unyunyu kibao lkn kwa izo wakuu nimejisalimisha aisee,____!

najarib ku upload picha inagoma apa,____duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka hapa Colognes zako tatu ambazo huwezi kufurukuta bila ya kuwa nazo.

Mimi zangu ni

1. Man in Black-BvLGari
2. Explorer by Mont Blanc
3. Light Blue By DG

Sent using [Iphone XS Max]
 
Dah!..nikajua ni gari au bike flan hivi kaliii,kumbe cologne!?..
 
Hivi uomo malizia zipo supermarket gani kwa Dar
Aisee, kuna jamaa yuko block jiran ni njian nikiwa napita huwa naiskia njian kwa nje ivi, leo usk nimeenda kumuulizia ni kitu gn Iyo akanambia ni ilo dude mzee( creed aventus), ila yake ni vile vyembamba vi smart collection lkn kanaonekana ni og huwa kananidusturb sn kisaikolojia nikiwa nakatiza anga izo.

Na kuna nyngne nilimskia mshkj iv inawasumbua wengi sn kzn yn jamaa akipita ivi huwa anaacha harufu km dk 15 iv njia nzima inanukia akanambia inaitwa: MALIZIA OUMO iko mixer na issey miyake ivi nishafanya mipango jamaa ananletea kesho mchana ivi, nilishakutana na unyunyu kibao lkn kwa izo wakuu nimejisalimisha aisee,____!

najarib ku upload picha inagoma apa,____duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom