Clotous Chota Chama unataka nini Christmas hii ??

Clotous Chota Chama unataka nini Christmas hii ??

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,057
Reaction score
39,387
Baada ya chama kutupa zawadi ya Christmas wana msimbazi ni wakati wa kumuuliza anataka zawadi gani kutoka kwetu

Je unataka kukaa madale ?
diamond tutamtimua

Je unataka kuwa msemaji wa simba ?
Manara atafute kazi nyingine

Unataka kuwa rais wa simba ?
Utapata usijali

Unataka kuwa rais wa Fifa ?
utakuwa tu wewe sema

unataka kofia ya akilimali ?
nitamvua mwenyewe nikuletee

Unamtaka mke wa mo dewji?
mchukue tu

we chama tuambie unataka nini

hata ukitaka kukaa ikulu jiwe atakupisha tu
 
Baada ya chama kutupa zawadi ya Christmas wana msimbazi ni wakati wa kumuuliza anataka zawadi gani kutoka kwetu

Je unataka kukaa madale ?
diamond tutamtimua

Je unataka kuwa msemaji wa simba ?
Manara atafute kazi nyingine

Unataka kuwa rais wa simba ?
Utapata usijali

Unataka kuwa rais wa Fifa ?
utakuwa tu wewe sema

unataka kofia ya akilimali ?
nitamvua mwenyewe nikuletee

Unamtaka mke wa mo dewji?
mchukue tu

we chama tuambie unataka nini

hata ukitaka kukaa ikulu jiwe atakupisha tu

🤣🤣🤣🤣🤣 hapo ktk kofia ya akilimali ha ha haaa sijui km utaivua
 
Nimemsikia kasema kwa sababu timu yake na mashabiki wake washatobolewaTUNDU (in Magufuli's voice) basi hataki kingine zaidi tundu,jitahidi umpe ndugu atafurahi sana.
 
Nimemsikia kasema kwa sababu timu yake na mashabiki wake washatobolewaTUNDU (in Magufuli's voice) basi hataki kingine zaidi tundu,jitahidi umpe ndugu atafurahi sana.
tutampa tundu lako
 
Chama ni mchezaji wa kiwango sana, aliefanya usajili wa chama pmja na kagere pale msimbazi hawakukosea, tatizo ni beki[/QUOTE Ni kweli kabisa Chama ni habari nyingine, katika ushindi wa juzi amesaidia mbili na kufunga moja, Simba wanahitaji beki wa kati mwenye kasi na mshambuliaji mwenye kasi wa kiwango cha sammata
 
Mleta Uzi hacha uchizi, sema mengine yoote, ila wacha kuichezea ikulu yetu, jicho letu, mboni yetu, na nashangaa kwa mini huu Uzi uneachwa hapa uendelee kutesa, ulitakiwa kufutwa Mara moja.
Baada ya chama kutupa zawadi ya Christmas wana msimbazi ni wakati wa kumuuliza anataka zawadi gani kutoka kwetu

Je unataka kukaa madale ?
diamond tutamtimua

Je unataka kuwa msemaji wa simba ?
Manara atafute kazi nyingine

Unataka kuwa rais wa simba ?
Utapata usijali

Unataka kuwa rais wa Fifa ?
utakuwa tu wewe sema

unataka kofia ya akilimali ?
nitamvua mwenyewe nikuletee

Unamtaka mke wa mo dewji?
mchukue tu

we chama tuambie unataka nini

hata ukitaka kukaa ikulu jiwe atakupisha tu
 
Baada ya chama kutupa zawadi ya Christmas wana msimbazi ni wakati wa kumuuliza anataka zawadi gani kutoka kwetu

Je unataka kukaa madale ?
diamond tutamtimua

Je unataka kuwa msemaji wa simba ?
Manara atafute kazi nyingine

Unataka kuwa rais wa simba ?
Utapata usijali

Unataka kuwa rais wa Fifa ?
utakuwa tu wewe sema

unataka kofia ya akilimali ?
nitamvua mwenyewe nikuletee

Unamtaka mke wa mo dewji?
mchukue tu

we chama tuambie unataka nini

hata ukitaka kukaa ikulu jiwe atakupisha tu
Mwandiko kama wa Haji Manara. Herufi ndogo na kubwa sio issue. Popote zinaenda. Lakini message imefika.
 
Back
Top Bottom