warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Jina lake halisi anaitwa issa mussa,anafahamika zaidi kwa jina la cloud.huyu ni muigizaji wa long time kidogo,aliwahi kushiriki michezo ya kuigiza apo awali kabla ya kuamua kujikita kwenye filamu.movie yake ya kwanza iliyomtambulisha vyema kwenye ulimwengu wa filamu inaitwa SABRINA,kwa aliyewahi kuitazama hii movie,ni kati ya movie iliyowahi kutikisa miaka hiyo.tokea apo tukaanza kumuona kwenye movie mbalimbali mpaka apo alipoamua kumiliki kampuni yake binafsi ya movie.hizi ni baadhi ya movie ambazo ameziandaa bwna mkubwa na kuweza kufanya vizuri sana sokoni kuna KINYONGA,TOBA,TIFU LA MWAKA,FUNGATE,BASILISA,TRIPPLE L na nyingine nyingi tu,kwa kifupi huwezi kuwataja waandaaji wa movie za kibongo bila kulitaja jina lake,anafanya vizuri kwa kweli,kama unataka kuthibitisha hilo kanunue TOBA,nimeona kaingia jamii forum,tofauti na mastaa wengine ambao tupo nao humu na wameamua kujificha Identity zao kwa sababu wanaozijua wao,swali langu kwa cloud ni hili,kwa nini umeamua kuji expose jamii forum na nini lengo lako haswaa la kuingia humu??,nitafurahi kama nikijibiwa na mwenyewe cloud,maana najua akina ufito kwa kudandia basi kwa mbele....