..........Udhaifu wa kipindi unasababishwa na nani kama sio huyu mtangazaji? Wewe bana hebu soma vizuri thread na kuelewa.
halafu Waziri wenu wa Habari yuko wapi?
Unaposema eti saa nne watoto hawajalala, wewe una tatizo na lazima kwenye malezi ya watoto wako ni una kasoro, usimzingizie Loveness kabisa, jirekebishe, angalia watoto wanatakiwA kulala saa ngapi na kwanini waiskilize radio saa nne usiku?
Jichunguze kwanza kabla hujamlaumu Ms DIVA. Malezi kwa watoto wako ni mabovu na ni wewe ndio unaharibu watoto wako.
My next question would have been.. hivi huyu binti kama ana boyfriend anayemsikiliza saa hizi..itakuwaje?
kumbeee!!
HATA HIVYO HIYO SI EXCUSE YA KUTUMOMOMYOLEA MAADILI YA WATOTO.
Duh heri angekuwa nae, huyu anamegwa na kuachwa ana stress za kuto pata mme wa kumuoa.
hapa haimaanishwi watoto as watto wadogo ........watu chini ya miaka 16 wanachukuliwa kuwa ni watoto kwa sheria za tanzania na hawatakiwi wafanye mapenzi let alone kujua position gani zinawafanya wa cum upesi!
time hizo ndio wanafunzi huwa wanasoma, akiwa amefungua redio ndio ajifunze vitu hivyO?
tanzania tunakoelekea siko hata kidogo .................akili zetu zote ziko kingono zaidi na hakuna sheria zinazobana hivi vitu.