Clouds: Acheni kufagilia upuuzi - wewe Diva - Loveness Love unajiaibisha....

mi nadhan achague maneno ya kuongea hewan coz anavuka mipaka na sio swala la kuchagua kumsikiliza ua laa ile ni media na ni kwa ajili ya watu wote anapotosha jamii were tanzanian we cant be europeans
 

Ndio urithi pekee alioachiwa na wazazi wake
 
Ushamba unamsumbua anahisi usupastaa kibongo bongo lazma ufanye ujinga. Anajilinganisha na wenzetu abroad. Tatizo pia Elimu inachangia. Kaz ya elimu ni kumstaarabisha mtu. Hana shule kichwan. Timu yote ya clous wapumbavu.
 
<br />
<br />
thanks...
 
wanawake mnajidharau na kujiaibisha wenyewe......
 
Usijaribu kabisa kutembelea hiyo website, ina virus wa kufa mtu
 
Hizo radio za fm we acha tu, mtangazaji atajiongelea chochote bila kujali ni nani anasikiliza.....kazi kweli kweli.
 
Mhh sidhani kama ni wote wapo wanaojitahidi ila wapuuzi kweli wapo
 
Ushamba unamsumbua anahisi usupastaa kibongo bongo lazma ufanye ujinga. Anajilinganisha na wenzetu abroad. Tatizo pia Elimu inachangia. Kaz ya elimu ni kumstaarabisha mtu. Hana shule kichwan. Timu yote ya clous wapumbavu.
Mmh hapana sio wote wapumbavu ila ni kweli wapo wapuuzi wasiojua maadili ya kazi yao.
 
Hana hakiri hata kidogo, muda wote anawaza mapenzi tuuu kudate na foreigners sijui anaona sifa, nasikia katoa seven day JF ifute post za kumsema laa sivyo ata take action.
asiambiwe ukweli?
 
jaman watu wenye akili sawia sidhani kama watakuwa wanasikiliza clouds me naona most of there program nimbovu na kuna redio nyingi ambazo wanaendesha vpnd vya mahaba na mada zao ni za kujenga alwz wanaomsikiliza huyo diva mbana pua naona kama wapumbavu mawazo yangu jamen!
 
"Huwezi kuiba mpaka uwe unamskiza Loveness Love/ k.i.chech* unajiita Diva, hiyo ni nonsense stuff/" - Nikki Mbishi
 
Hana jipya huyu anaiba pic za watu wa nje na kujifanya zake...eti anaspend 2000 dollar kununua nguo kila mwezi...acha uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…