<br /><br /><br />
<br /><br />
Unataka nikumwagie matokeo yangu hapa
Umenigusa sana jamani, yeye anabaki kujisisfia huyo anayemwita kilaza anachakarika kutafuta maendeleo.......<br />
<br />
Can you tell this forum what benefit you get from your fying colours. Au ndo unabaki kujisifia bar unamuona yule nilikuwa nampita darasani hakuwa na akili kama mimi
we mpuuzi kweli, hata sina haja ya kuyaona, usije ukaweka matokeo ya mdogo wako. We ni kilaza 2, hata kama umefaulu bas ilitokea accidentally, hukustahil hata kidogo.<br /><br />
<br /><br />
Unataka nikumwagie matokeo yangu hapa