Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,244
- 5,500
Kwamba baada ya ruge wameaza kuyumba?Hata mwezi haujaisha jamani!!
Hahaha mkuu ila simba anashinda mbona.Dah! Aibu ya taifa sasa tunaisikia live kupitia redio yetu pendwa! Vitu vingine vinauma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Congo alikuwepoDauda awepo aone kazi yetu
Na wewe uwepoHata Congo alikuwepo
Daah we jamaa utakuwa mchawi Umejuaje wamehonga?? Ila sikushangai hata Zahera alisema Simba anahonga ili Yanga wafungwe na yeye akahongwa akafungwa ni suala la muda tuKila la heri As vita club
Yaaani Simba wameona hali ngumu mpaka wakahonga clouds wawatangazie hii mechi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasemaje Acheni kufosi kiki wakati hamna bando
Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Daah we jamaa utakuwa mchawi Umejuaje wamehonga?? Ila sikushangai hata Zahera alisema Simba anahonga ili Yanga wafungwe na yeye akahongwa akafungwa ni suala la muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app