kitimoto naugali
Member
- Nov 5, 2015
- 88
- 33
Wakifa je??Utakua uwatakii mema clouds wewe! Sasa B12 na Adamu wakitoka kipindi kitaitwaje na kitasikilizwa na nani? Kibonde sawa
Itafaamika tuWakifa je??
Inaitwa MAISHA Mkuu!We na huyo "raisi" wako nchi yenu inaitwaje mkuu
Okay, msalimie first ladyInaitwa MAISHA Mkuu!
A. Chifupa alipita but mambo yalisonga, wapo wengi wabunifu na wenye vipaji tatizo hawajapa nafasi ya kuonyesha jamii walicho nacho, popote akiondoka mtu yupo wa kifiti bila kujali itachukua mda gani..worry out sirSalaam wana jamvi!
Kuna taarifa yakuwa watangazaji wawili wa Clouds media group,wameondoka kwenye kituo hicho kilichojizolea umaarufu sana kwenye medani ya habari na burudani.
Watangazaji hao walikuwa wana kipindi chao maarufu sana cha asubuhi chenye jina la Power Breakfast(PB)nia ya huu uzi siyo kutaka kuwachambua hawa waliona fursa sehemu nyingine na wakaifuata.
Mashaka yangu ni yakuwa naona harufu ya hii radio kurudi hatua kumi nyuma,sina hakika kama kuna watakaokuja ku-fit kama walivyokuwa hawa wa mwanzo.
Naliona pigo kubwa sana kwa mzee wa fursa Ruge kwa kuondoka hawa wazee wa PB pale clouds media.
Wewe ni msemaji au mke wa yupi kati yaoHii habari ni upotoshaji. PJ na Hando hawajatemwa ila wamekataa wenyewe kusaini upya mikataba ya ajira sababu wanapunjwa mno mgawo kwa hela wanayoingiza kwenye matangazo.
Kawaida sanaSalaam wana jamvi!
Kuna taarifa yakuwa watangazaji wawili wa Clouds media group,wameondoka kwenye kituo hicho kilichojizolea umaarufu sana kwenye medani ya habari na burudani.
Watangazaji hao walikuwa wana kipindi chao maarufu sana cha asubuhi chenye jina la Power Breakfast(PB)nia ya huu uzi siyo kutaka kuwachambua hawa waliona fursa sehemu nyingine na wakaifuata.
Mashaka yangu ni yakuwa naona harufu ya hii radio kurudi hatua kumi nyuma,sina hakika kama kuna watakaokuja ku-fit kama walivyokuwa hawa wa mwanzo.
Naliona pigo kubwa sana kwa mzee wa fursa Ruge kwa kuondoka hawa wazee wa PB pale clouds media.
Hahaha made my day [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkataba wa kabonde nao vipi!? Huo ukiisha nami naanza kuisikiliza clouds.