francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
Kama kichwa kinavojieleza Apo juu Kuna baadh ya mechi mnazipa kipaumbele Sana kuzichambua mfano mzuri mechi ya arsenal na man u hamkuchambua mlitupelekesha tu Ila angeshinda uyo man u mngechambua Sanaa. ovaa