francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
ExactlyMkuu radio zipo nyingi sikiliza wanapochambua,hao achana nao
Mzee baba Kwani umelipia tangazo ili clouds wawe wanachambua vile unataka?? Au kaombe kazi shekhe maana pia radio zipo Kama utitiri siku hizi, usiwapangie watu chakufanya kama Ambavyo ww hawakupangii chakuandikaKama kichwa kinavojieleza Apo juu Kuna baadh ya mechi mnazipa kipaumbele Sana kuzichambua mfano mzuri mechi ya arsenal na man u hamkuchambua mlitupelekesha tu Ila angeshinda uyo man u mngechambua Sanaa. ovaa
kumbe umeliona mkuu Jana nimewaskiliza kwa makini Sana Hadi uefa kalata yao eti inaenda kwa man u. Nimecheka sanaWapuuz sana
Nilicheka kuna mmoja akamuuliza mwenzake ana mtazamo gan kuhusu top 4
Wakaanza kujiumauma eti ohoo man u ataingia top 4 na Tottenham
Ikatakiwa watoe sababu, hapo ndio nikaona clouds ni mambumbu
Et arsenal hataingia top 4 kwa kuwa ana mech rahisi
Sasa nikaajiuliza Hiv hii ndio strong reason
Yaan mule yamejaa man u yapo kishabik sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo ,nani alisema karata inaenda kwa man u.kumbe umeliona mkuu Jana nimewaskiliza kwa makini Sana Hadi uefa kalata yao eti inaenda kwa man u. Nimecheka sana