Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndugu yangu ruge na aka joseph kwanza nawapongeza kw ajuhudi zenu ni kweli mnajitahdi
kwenye ujasiriamali na natumaini mungu anawabariki na aendelee kuwabariki wazo langu na ombi
ni kwamba kumekuwa na aibu kubwa hasa kwa watot wadogo wanaokuja uchi siku za fiesta mbaya
sio kuvaa uchi natuaini watanzania wamezoea bali ni vitendo vya kuvuana na kufanya mapenzi
ni kweli wengi awaji na chupi kwa ajili ya kwuasaidia kurekebisha shida zao wakiitaji mtu w fasta
na hawa ni wale watoto wa boarding na wengi wamekuwa wakiondoka na mimba na mwisho kuzaa watoto
wasiojua baba zao na kukosa elimu
natumaini upendi kumwagiwa uchafu wa maji pale ubungo na wale watoto sio wanapenda kumwaga maji machafu ama
kutosoma bali kutokuwa na wazazi wao halali na hivyokuishia kulazimisha watoto watunzwe na baba ...,walezi
je mko tayari kulea yatima wa kesho ???
kwenye ujasiriamali na natumaini mungu anawabariki na aendelee kuwabariki wazo langu na ombi
ni kwamba kumekuwa na aibu kubwa hasa kwa watot wadogo wanaokuja uchi siku za fiesta mbaya
sio kuvaa uchi natuaini watanzania wamezoea bali ni vitendo vya kuvuana na kufanya mapenzi
ni kweli wengi awaji na chupi kwa ajili ya kwuasaidia kurekebisha shida zao wakiitaji mtu w fasta
na hawa ni wale watoto wa boarding na wengi wamekuwa wakiondoka na mimba na mwisho kuzaa watoto
wasiojua baba zao na kukosa elimu
natumaini upendi kumwagiwa uchafu wa maji pale ubungo na wale watoto sio wanapenda kumwaga maji machafu ama
kutosoma bali kutokuwa na wazazi wao halali na hivyokuishia kulazimisha watoto watunzwe na baba ...,walezi
je mko tayari kulea yatima wa kesho ???