Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

kweli unamapenzi ya kweli na mabwana zako...kila thread inayowahusu mapovu yanakutoka...pole

Dah! Na wewe sijui umekosa bwana leo maana kila nnakoenda na wewe huyo unanifuata. Kuna tatizo kwani?
 
Nyani Ngabu we jitoe ufahamu na wakati ukweli uko wazi. Mbona unatumia nguvu nyingi sana katika kuwasafisha. Mi nitaendelea kuamini na kuzungumzia maovu ya clouds yanayosemwa na wadau wa muziki kwa kuwa kwa mimi kufanya ivyo nashiriki ktk kupambana na unyonyaje wa hawa VAMPIRES. Ukwel una kawaida ya kujisimamia
 
Nyani Ngabu we jitoe ufahamu na wakati ukweli uko wazi.

Huo ukweli ambao uko wazi uko wapi wewe?

Mbona unatumia nguvu nyingi sana katika kuwasafisha.

Na wewe unatumia nini kuwaponda?

Mi nitaendelea kuamini na kuzungumzia maovu ya clouds yanayosemwa na wadau wa muziki kwa kuwa kwa mimi kufanya ivyo nashiriki ktk kupambana na unyonyaje wa hawa VAMPIRES. Ukwel una kawaida ya kujisimamia

Alaaa! Kumbe suala lenyewe ni la imani! Mimi nilidhani labda una hard evidence dhidi yao kumbe wapi, huna chochote. Haya wewe endelea kuamini unachotaka kuamini kwani kwa hilo mimi siwezi hata kukupinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…