Nyani Ngabu tangu lini na wewe umeanza bifu na dadangu Jide?
wamepata nafasi nyingine ya kupatia hela. hawa jamaa clouds ni zulumati sana. ndo maana jide kasema wana mamilion lakini wanatamani hata mia mbili zangu. kwa ufupi jide kawakamata pabaya. mia
conflict of intrest,cjui mwisho wake ni nini
Damn....joe n ruge..y cant u let this girl go...what do u really want 4m her?...her life?????..telll me psee whatttttttt?...you are grown-ups now "thugs turned businessmen...what else do u need???
Kwani hujui Nyani Ngabu anatetea anything cha clouds fm? Hata kiwe kibovu!
Nyani Ngabu, kwani ni nini kile mliandaa dodoma? Manake nimetoka kapa.
SIO mtumishi Nyani Ngabu ni mbeba box fulani anaeganga njaa majuu kila akija Tanzania haachi kujikomba kwa akina Ruge apate kuingia bure kwenye matamasha.Jamaa ni mbwiga fulani hivi mara nyingi hata humu anafananishwa na Bilali wa KinondoniNasikia Nyani Ngabu ni mtumishi pale Clouds sijui hizi kama zitakuwa ni habari za kweli, kama zitakuwa ni habari za kweli indirectly lazima Jidy na Nyani ngabu wawe kwenye Bifu, kama unadhani hakuna uhusiano wowote jaribu kumsema vibaya Ruge au Joseph K mbele ya Kibonde utaona matokeo yake.
Another "planned diversion" from issues of National interest.....
SIO mtumishi Nyani Ngabu ni mbeba box fulani anaeganga njaa majuu kila akija Tanzania haachi kujikomba kwa akina Ruge apate kuingia bure kwenye matamasha.Jamaa ni mbwiga fulani hivi mara nyingi hata humu anafananishwa na Bilali wa Kinondoni
SIO mtumishi Nyani Ngabu ni mbeba box fulani anaeganga njaa majuu kila akija Tanzania haachi kujikomba kwa akina Ruge apate kuingia bure kwenye matamasha.Jamaa ni mbwiga fulani hivi mara nyingi hata humu anafananishwa na Bilali wa Kinondoni
Another "planned diversion" from issues of National interest.....
But Binti Machozi will come out triumph, the nation is behind you Jide, you are our HERO.Every time one opens his or her mouth and talks about about someone, they open themselves up for legal liability.
My thing with that girl is, if she has a genuine complaint about being unlawfully exploited why didn't she go to court first instead resorting to throwing shade through social media?
Is she doesn't wantherself dragged to court then she should shut the hell up and mind her own business, literally and figuratively.
Wabongo bana kwa hiyo hapo umehara au?Hizi kesi za wanawake mi huwa hata cha kuchangia sina.
every time one opens his or her mouth and talks about about someone, they open themselves up for legal liability.
My thing with that girl is, if she has a genuine complaint about being unlawfully exploited why didn't she go to court first instead resorting to throwing shade through social media?
Is she doesn't want herself dragged to court then she should shut the hell up and mind her own business, literally and figuratively.
damn u r so right...
nyani ngabu...usiwe mgeni wa maisha ya bongo n especially when you deal with ruge n joe....my simple question ni kuwa mbona jide ni mtu mdogo sana na walishamjibu na sie waelewa tulimuelewa vizuri ruge kwanini wamempeleka mahakamani?....na kwanini hawakumpeleka sugu mahakamani?...au kwa vile sugu mbunge na mbaya zaidi sugu anao-ushuhuda wa umafia wao??
Jide alikosea..fine, wao wakamweleza ukweli...that was enough..y beefin up wit that lady?...now they wanna drain her pockets.....hapo ndio tunaoujuwa ukweli na umafia wao tunaona hawamtendei bint fair...wapo watu wanajuwa their bones in their closet so they must be very smart over this war they are startin up...jide anapata support ya watu na mwishowe clouds wataumbuka.
Nilidhani ruge na kusaga walivyojibu hoja kwenye media yao yaliisha...kumbe wameamua kumpeleka jide mahakamani?...now naamini wana-nia ya dhati kummaliza jide kimuziki..now naamini jide pamoja na kulia kilio kilichopoteza mwelekeo bado anahitaji kusikilizwa ili mtaani tutoe haki "streets justice"...maana naona hawa mabwana wanataka kutumia pesa na vijisenti vyao hata ikiwezekana watoe uhai wa wapinzani wao ki-biashara kwa mgongo wa mahakama.... Possibly itakuwa ni business defamation case ambayo hukumu ni kulipa fidia kubwa kusafisha jina lao.
Jide..please wasiliana na sugu tuone vinega wanaingiaje hapa na kukutetea...mahakama watakuzuia kuliongelea bifu lako kwakuwa kesi ipo mahakamani then itakaa 2yrs na ikitoka unapigwa fine 2billion tshs then unafunga na mgahawa wako na machozi band then unarudi kijijini kwako kulima mihogo.
Damn....joe n ruge..y cant u let this girl go...what do u really want 4m her?...her life?????..telll me psee whatttttttt?...you are grown-ups now "thugs turned businessmen...what else do u need???