CLOUDS FM Wamjibu Sugu kwa Kumleta DMX

CLOUDS FM Wamjibu Sugu kwa Kumleta DMX

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Katika dhana ya kugawana mashabiki kwenye matamasha kati ya sugu na ruge,clouds fm kupitia straight music watafanya Tamasha siku hiyo hiyo ambayo Mh. Sugu(Joseph Mbilinyi,Mb wa Mbeya mjini) naye anazindua album yake ya ANT-VIRUS II tar. 26/11/2011.Clouds Fm wamejibu kutokana na Mh sugu kupitia kampuni yake ya Deiwaka kufanya Tamasha siku hiyohiyo ambyo nao clouds walikuwa wanafanya tamasha lao la Fiesta mbeya.

Nawasilisha
 
wataokota wao si tunatupia tu kwenye nyavu zao labda wakamfufue michael jackson hahaha mbeya walipigwa mswaki sasa subiri waone
 
tutajua mwisho wake tu...

Kabisa hapa inabidi sugu na crew yake ya peenlawyer wafanye promo ya kufa mtu maana navyomjua ruge kwa promo hajambo anaweza akapiga tangazo mara 1000 kwa siku
 
wataokota wao si tunatupia tu kwenye nyavu zao labda wakamfufue michael jackson hahaha mbeya walipigwa mswaki sasa subiri waone

Mkuu kalila nahisi na wewe ni m1 wa watu wa Deiwaka mmejipanga vp ki-promo kuwapiku hawa kina ruge na clouds? Maana navyowajua wabongo wengi wanaendeshwa sana na matukio si umeona wanamleta DMX.
 
katika dhana ya kugawana mashabiki kwenye matamasha kati ya sugu na ruge,clouds fm kupitia straight music watafanya tamasha siku hiyo hiyo ambayo mh. Sugu(joseph mbilinyi,mb wa mbeya mjini) naye anazindua album yake ya ant-virus ii tar. 26/11/2011.clouds fm wamejibu kutokana na mh sugu kupitia kampuni yake ya deiwaka kufanya tamasha siku hiyohiyo ambyo nao clouds walikuwa wanafanya tamasha lao la fiesta mbeya.

Nawasilisha
sugu anajibu hivi!
[h=6]...this time hata wamfufue mfalme wa pop michael jackson halafu wamlete bongo tarehe 26 nov ili kutuharibia...hakika tutawatuliza kama tulivyowatuliza mbeya na fiesta yao...we got thiz coz mitaa iko na sisi na nchi iko kwenye good mood...
[/h]
 
Sugu Moto Chini na Dawa ya Jeuri ni kiburi.Clouds FM itakula kwao tu maana watu wapo real siku hizi wanataka ukweli watu wamewamis wagosi,babu inspector Haroun Triple 5,alianza kuitwa babu kabla ya yule wa samunge wa tiba ya ajabu lolliondo
 
sugu anajibu hivi!
[h=6]...this time hata wamfufue mfalme wa pop michael jackson halafu wamlete bongo tarehe 26 nov ili kutuharibia...hakika tutawatuliza kama tulivyowatuliza mbeya na fiesta yao...we got thiz coz mitaa iko na sisi na nchi iko kwenye good mood...
[/h]

Nakubaliana naye
 
Tutawapa data na hata picha, DMX mbona siku hizi mchovu tuu, kitambi kikubwaa na anapiga sehemu bure na bado watu hawaendi....!! kabaki kuwapigia muziki mateja tuu....ndo maana anaweza kukubali kukimbia thanksgiving weekend ambayo ni siku muhimu sana pande ile kuja tanzagiza !!

Nakubaliana naye
 
radio ya wafu labda wawafufue wafu akina jacks na heavy d ndo watazima mziki wa street fighter wa bish wa kitaa
 
Katika dhana ya kugawana mashabiki kwenye matamasha kati ya sugu na ruge,clouds fm kupitia straight music watafanya Tamasha siku hiyo hiyo ambayo Mh. Sugu(Joseph Mbilinyi,Mb wa Mbeya mjini) naye anazindua album yake ya ANT-VIRUS II tar. 26/11/2011.Clouds Fm wamejibu kutokana na Mh sugu kupitia kampuni yake ya Deiwaka kufanya Tamasha siku hiyohiyo ambyo nao clouds walikuwa wanafanya tamasha lao la Fiesta mbeya.

Nawasilisha
Umechemka na wao wamechemka
 
Mkuu kalila nahisi na wewe ni m1 wa watu wa Deiwaka mmejipanga vp ki-promo kuwapiku hawa kina ruge na clouds? Maana navyowajua wabongo wengi wanaendeshwa sana na matukio si umeona wanamleta DMX.

Ruge hawezi kupambana na sugu ruge anatumia ikulu na sugu anampango wa kwenda kumuona jakaya kumuelezea matatizo ya mziki. Ruge anamtumia mwana fa amempa mil 30 ili awasaliti wasanii wenzake kwa kupitia kampuni ya t.f.u wasanii wengi watajiunga na movement ruge anahanya tu promo zina kuja check na swahilioriginaltz.com
 
radio ya wafu labda wawafufue wafu akina jacks na heavy d ndo watazima mziki wa street fighter wa bish wa kitaa

Sure hawawezi kushindana na vinega wezi tu wanahanya
 
Ruge hawezi kupambana na sugu ruge anatumia ikulu na sugu anampango wa kwenda kumuona jakaya kumuelezea matatizo ya mziki. Ruge anamtumia mwana fa amempa mil 30 ili awasaliti wasanii wenzake kwa kupitia kampuni ya t.f.u wasanii wengi watajiunga na movement ruge anahanya tu promo zina kuja check na swahilioriginaltz.com

Da thanks kalila kwa info kumbe mzee wa benzi jekundu(FA) ni bonge la snitch,Sugu moto chini dawa ya jeuri ni kiburi nimemkubali kwa harakati zake
 
Back
Top Bottom