King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
-
- #41
Hivi wale kikosi chA mizinga watakua upande upi wa sugu au wa bwana rugemalaria no more?????mi upande watakaokuwepo wale ndio ntatia timu,wale nawakubali sana wako real!!
Kwan fiesta haijaisha?
Dah,ths is
Endless conflict
Sasa Wamehack Account ya Mkoloni :
Mgosi Mkoloni
bora ubunge wa mbeya angepewa adili huyu sugu **** tuuu
Like · · Share · 23 minutes ago ·
Fiesta imeshaisha sema ruge ameamua kuandaa tamasha kumuaribia sugu kwenye uzinduzi wake
clouds fm! Nadhani wametumia gharama kubwa sana kulipa mtaalam wa it!hiv nani anayehack acc za vinega au ni clouds fm?
clouds fm! Nadhani wametumia gharama kubwa sana kulipa mtaalam wa it!
Atafanyia viwanja vya kijitonyama karibia na chuo cha ustawi wa jamii
Vinaitwa viwanja vya posta
Sugu atafanyia wapi?maana ntakuwa Dar that day lazima niende! itakuwa wapi tafadhali