Clouds Fm: Wanamtumia Bi Kidude kibiashara

Ally Kombo

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
11,429
Reaction score
2,650
Fuatilia matangazo ya Clouds Fm, jinsi walivyoamua kutumia umaarufu wa Bi Kidude kumfanyia biashara.
Wanaweka vionjo vya Bi Kidude, kisha wanasema 'made in Tanzania' kwa hisani ya 'Maxi Malipo' !
Sasa ni maombolezo au ni nini ?........inanikumbusha jinsi mwaka jana walivyotumia sauti ya mkuu wa kaya zaidi ya mwezi kama klip ya matangazo !
 
Huwa sina muda wa kusikiliza redio za kipuuzi, poleni mnaondelea kuisikiliza hiyo redio.
 
Watu washaingia studio na kurekodi song, unashangaa hiyo ya Clouds mkuu!!
 
Haaah watu hawakosi lakuongea jamani
apumzike kwa amani bint baraka.
 
HIVI HIYO RADIO YA rughe huijui tuuuu, kwa marehem kanumba nako si ilikuwa hivi hivi
wanajifanya wanaenzi watu kumbe wanawatumia marehem as source of their income
 
daaah bt duniani kwel kuna mambo coz bi kidude alikua na nyumba yake ameugua kidogo tu wa2 wamepangisha hadi chumba chake cha kulala pia shoo alkua anafanya yeye afu. m2 mwingine anamshikia pesa anampa kwa wiki 5000 ale anunue maji kula ki2 iyo iyo
duuuuh na kumbe hadi clouds mmooo kwenye list ya walomkandamiza bi kidude...rest n peace bi. kidude
 

Hao wezi wanatumia kila kitu...si ruge, hana adabu
 
majamaa wanakera sana, ni opportunists
 

marehemu hana haki na hathaminiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…