Clouds iheshimu sauti ya JK

Clouds iheshimu sauti ya JK

bob nasta

Senior Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
145
Reaction score
118
Mimi binafsi nisikiapo sauti ya kiongozi wa nchi Redioni au kwenye luninga roho hunidunda najua kuna kitu muhimu nakuja kusikia Sasa hawa wa jamaa clouds naona kama wanaitumia vibaya sauti ya Mkuu wa kaya kila mara DUNIA YAKO CHAGUO LAKO yani naona wanamfananisha RAIS wachekeshaji JAMANI SAUTI RAIS INA THAMANI au wenzangu mnaonaje
 
walianza kwenye wimbo wa taifa....wapuuzi sana hawa...hata hivyo mwenyewe baba mwanaasha ndo anapendaga hayo mambo...
 
Sioni kosa la Clouds Fm kutumia sauti ya rais, wao kama clouds sauti hiyo hawajai foji ikiwa na maana Rais aliridhia kuwepo katika tangazo hilo labda kwa lengo la kuongeza hamasa kwa wananchi. Na pia hata wewe mwenyewe ukiamua kuchukua sehemu ya mahojiano ya rais ukayafanya kuwa ring tone kwenye simu yako hakuna atakaye kushtaki as long as haujaongeza wala kupunguza neno.
 
lincolin mwenyewe maneno yake ya miaka zaidi ya arobain iliyopita
Yanarudiwa na media nyingi tu hapa u.s
Ww ndio unajifanya unajua sana kuhusu itifaki..
Rudi darasani...
 
i see ......watu wa aina yako wakisikia wimbo wa taifa redioni watasimama..... Haijalishi uko wapi....

Unadhani redio mawingu wameweka hiyo sauti bila ridhaa yake?
 
lincolin mwenyewe maneno yake ya miaka zaidi ya arobain iliyopita
Yanarudiwa na media nyingi tu hapa u.s
Ww ndio unajifanya unajua sana kuhusu itifaki..
Rudi darasani...
Hapo kwenye RED ndio wapi mkuu ni USA river?.......maana nitashanga kama ni Obamaland halafu wewe ndio unaongoza kwa kupost udaku wa Dar es salaam humu!!
 
Hapo kwenye RED ndio wapi mkuu ni USA river?.......maana nitashanga kama ni Obamaland halafu wewe ndio unaongoza kwa kupost udaku wa Dar es salaam humu!!
do you know the meaning of world wide web?
 
Kwani alishikiwa bastola kurekodi sauti yake?
 
rais wetu mtu wa mwambao....... vikolombwezo kama hivyo ndio anapenda mmesahau mambo yake ya ukitaka kula lazima uliwe
 
Huyo ndo msela wa zamani wa kile kijiwe chao maaruf cha Saigon kariakoo,ukitaka kuona vizuri angalia kwenye TV ya clouds angalia tishert alovaa wakati wa tangazo hilo ndo ytaamini!juzi Pinda kifua chake kiligeuzwa bango la matangazo ya Vodacom,mijitu ya protocal akili zimeishia kwenye perdiem na unafki!
 
Back
Top Bottom