Clouds Media Group mnajidhalilisha

Slim

Senior Member
Joined
Nov 12, 2008
Posts
145
Reaction score
179
Nimesikia matangazo kwamba wanatoza watu pesa kwa ajili ya US Visa lottery wakati hii kitu ni bureee kabisa na mtu unatumia dk 3 mpaka 5 kujaza online form buree kabisa na ofisi ya US immigration imesisitiza hili zoezi ni bureee Bora wangejitolea kusaidia watu bure kuliko kutoza fedha ukienda ubalozi wa marekani unasaidiwa bure kwenye maktaba yao ambayo pia internet ni buree. Nawasilisha.
 
Ungesikiliza kipindi Cha Jahazi juzi usingeandika hivi maana mambo yote waliyaongea na maswali yote yaliulizwa. Na pia sio Clouds ndo inatoza ni Kuna agents wanao saidia watu kufanya mchakato huo
 
Wajinga ni chakula ya wajanja
 
Ungesikiliza kipindi Cha Jahazi juzi usingeandika hivi maana mambo yote waliyaongea na maswali yote yaliulizwa. Na pia sio Clouds ndo inatoza ni Kuna agents wanao saidia watu kufanya mchakato huo
Hiyo kitu ni free of charge mkuu kulipisha watu ni uhuni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…