Clouds Media kuhamisha uwanja wa Ndondo Cup kutoka Tandika bandari hadi Kinesi

Limekaa kiuhamisho mkuu.Ni taratibu zao

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Bashite si ndio aliweka jiwe la msingi ktk huo ukarabati uliofanyika ktk uwanya wa bandari labda ndo sbu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nilisikia eti yule chifu wa darisalama kawapiga BAN
 
Clouds walisha ingia mkenge na fiesta itapigwa kapuni sasa
 
Clouds nao walizingua, Walimsimamisha kazi Luambano kisa tu alimtaja Bashite na kumsifu kwa ukarabati wa kiwanja,Bashite nae anawakazia ha ha..wakubali tu shetani mbaya kiatu chake dawa..
 
Mwenye picha za uwanja wa bandari baada ya ukarabatiwa aziweke tuzione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…