Magnesium
JF-Expert Member
- Nov 9, 2014
- 317
- 185
Habari wanabodi.. Leo nimeona niandike hili.
Nieleweke kabisa mimi sina timu yeyote hapa.. Hivi majuzi tulishuhudia clouds Media kujitangaza kuwa bila wao diamond asingefika pale na wanajivunia kwa hilo.. Baada ya muda akarud Ali Kiba na jinsi walivyompromote kupitia vituo vyake vya redio na televisheni tunaona ni wazi kabisa wana lengo la kuendeleza na kichochea bifu baina ya Ali kiba na Diamond.. Hayo yote yakapita ila hili la juzi limezidi, promo aliyopata na anayopata mpaka sasa Ali Kiba kupitia tour yake ya #ChekechaCHEKETOUR ni kuegemea upande mmoja kwa kumpa promo kupitia matangazo na hata post mitandaoni..
Imefika mahali wamempa hadi mtangazaji wao Mussa Hussein (mwanadaresalam) kuzunguka nae kwenye hiyo tour... Ukiangalia jana Diamond alikuwa na performance kubwa kwenye tuzo kubwa kimataifa nchini Nigeria lakini hakupata support yeyote kutoka kwenye hii Media.. Ndio maana nasema ni wanafiki kwa kuwa lengo lao sio kuongeza ushindani bali ni kukuza bifu...
Nieleweke kabisa mimi sina timu yeyote hapa.. Hivi majuzi tulishuhudia clouds Media kujitangaza kuwa bila wao diamond asingefika pale na wanajivunia kwa hilo.. Baada ya muda akarud Ali Kiba na jinsi walivyompromote kupitia vituo vyake vya redio na televisheni tunaona ni wazi kabisa wana lengo la kuendeleza na kichochea bifu baina ya Ali kiba na Diamond.. Hayo yote yakapita ila hili la juzi limezidi, promo aliyopata na anayopata mpaka sasa Ali Kiba kupitia tour yake ya #ChekechaCHEKETOUR ni kuegemea upande mmoja kwa kumpa promo kupitia matangazo na hata post mitandaoni..
Imefika mahali wamempa hadi mtangazaji wao Mussa Hussein (mwanadaresalam) kuzunguka nae kwenye hiyo tour... Ukiangalia jana Diamond alikuwa na performance kubwa kwenye tuzo kubwa kimataifa nchini Nigeria lakini hakupata support yeyote kutoka kwenye hii Media.. Ndio maana nasema ni wanafiki kwa kuwa lengo lao sio kuongeza ushindani bali ni kukuza bifu...