Clouds Media, watangazaji wenu wapimeni kilevi

Clouds Media, watangazaji wenu wapimeni kilevi

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Nikiwa kwenye foleni nzito ya Jumamosi ya Jana iliyotokana na Mvua za Dar es Salaam, nimetune 88.5 mbele hapaendi nyuma hapaendi.

Gafla bin vuu kinaenda kuanza kipindi cha Rhumba saa 5/6 usiku. Mtangazaji DAKOTA anaingia studio anakarbishwa na wenzako kijiti, anapayuka mnifungulie Mlango!
Anaulizwa vip za Sauz kaka;

Anajibu: (kwa sauti ya tungi) GSM ni noumaaa tumetesa Sauzi ile mbayaaa hatujalala kabisa yule msenge ana pesaaa!

Yaani, MOTSEPE akija Tanzania tunaunda genge tummalize!

Aliongea shits nyingi ambazo anapaswa kuongea mtu ambaye yuko kijiwe cha kahawa mpaka wenzake ikabidi waondoke studio wamwache peke yake.

Unabaki kujiuliza hivi hizi Redio wanaajiri Profeshno au wanaajiri MCs!

Je, hawa Watangazaji wetu wanapoingia Studio upo utaratibu wa kuwapima kiasi cha Ulevi au ni ilimradi liende.

Clouds mnatangaza kummaliza Motsepe mkigeukiwa mna cha kujitetea au ndio mtadaiwa fidia mpaka mfunge Redio.

Tujifunze kuwa na staha ya midomo yetu. Weekend njema.
 
Uwe na kifua wewe dada,hata ya mmeo chumbani ulishayaanika jukwaani,mengine ni makosa ya kibinadamu.
Pombe siyo Chai mkuu badilika, hata kama Umempa JISM jicho usijitoe ufahamu kiasi hicho.
 
Wewe Idd ya jina lako inakusadifu sina cha kuongezea
Ndo maana nakwambia mwenye matatizo ni wewe.unaumia vipi na vitu visivyokuhusu?redio ina matusi si unaachana nayo?unasikiliza radio nyingine. Au umepigiliwa misumali?
 
Mkuu huyu Bw. Mdogo wa hovyo hovyo siyo Mtangazaji, ni kijana mmoja Mwalimu chawa sana Mhitimu wa St.John University. Ngoja nimwache tu namsamehe bure kutukana wakubwa zake waliomvusha.
Umepotea Sana dada na Wala hujawahi kunivusha Kwa lolote,mm kwasasa nazama maduarani kuchimba madini sijawahi kuwa mwalimu na nimeishia darasa la saba...mm Niko hapa kukuomba dada ya kuwa mambo mengine uwe unanyamaza tu maana hata wewe una madhaifu Yako kibao sema kwavile wewe siyo maarufu na huna influence yoyote ndo maana hutuhumiwi Kwa chochote.

Siku ukiwa maarufu na ukawa na influence dada nakwambia utatembea uchi kabisa Kwa kupagawa.
 
Ni kweli hata Mimi nilisikia alisema akija raisi wa cuf wataandamana wenzie wakaondoka studio wakamuacha!!
Mtu uko tungi alafu unagongea na mamilioni ya watanzania as if upo kwenye kilabu Cha banana sio poa
 
Umepotea Sana dada na Wala hujawahi kunivusha Kwa lolote,mm kwasasa nazama maduarani kuchimba madini sijawahi kuwa mwalimu na nimeishia darasa la saba...mm Niko hapa kukuomba dada ya kuwa mambo mengine uwe unanyamaza tu maana hata wewe una madhaifu Yako kibao sema kwavile wewe siyo maarufu na huna influence yoyote ndo maana hutuhumiwi Kwa chochote.

Siku ukiwa maarufu na ukawa na influence dada nakwambia utatembea uchi kabisa Kwa kupagawa.
Jifunze kutumia vzuri mitandao ya Kijamii Bw.mdogo kuna wakubwa zako na wazazi wako. Haya tufanye umeshindwa nimekubali mimi ni dada!
 
Zilipowekwa standards za elimu kama kigezo cha mtu kuajiriwa watu wakasema talent beats certificates, sasa haya ndio matokeo yake.

Mbwa asiye na mafunzo mazuri ndie huuma watu bila sababu.

Ni muda muafaka sasa taaluma za watu zichukuliwe serious sio una ajiri watu kwa kigezo cha umaarufu, wacha mtu akapatie umaarufu kwenye station baada ya kujifunza namna ya ku'engage na audience yake huku akitumia taaluma yake aliyosomea.

Watu wanasomea hapo UD wapo wanaosomea chuo cha uandishi wa habari why hawa watu wapo mtaani halafu huko kwenye radio stations mnaajiri akina Dida, akina swebe, akina zembwela, akina kitenge, kwasababu tu wanajua kupiga domo wakibwabwaja kwakusema chochote kinachowajia kichwani hata kama ni takataka.

Mamlaka zitafute team za wataalamu kuweza kufanya jukumu la kutoa seminar elekezi kwa wamiliki na mameneja waendesha vipindi walizingatie hilo.
 
Back
Top Bottom