kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kama waliokuwa wachezaji wao tegemeo Ajib na Morrison harufu tu ya benchi wanaipata kwa mbaali, siku moja moja, basi huu mjadala ufungwe bora tujadili tu report ya CAG!
Umewasikia wapuuzi huyo alifanya majaribio Simba ikaonekana hana kiwango hicho eti leo ndio apiteClouds acheni vituko na kuchekesha.Timu kama Simba ikimchezesha Moro atakuwa anapigwa umeme kila siku.Hachezi mpira yule anacheza mieleka.Ni vile tu yuko utopolo na wanabebwa sana kwa mchezo wao wa kihuni ndio maana mnamuona huyo Moro anajituma.
Naweza kumkubali Tuisila na Tonombe pekee ila si hao wengine.Na bado wanaweza kuanzia benchi vile vile
Hawana kumbukumbu alishakuja tukamwona hafaiUmewasikia wapuuzi huyo alifanya majaribio Simba ikaonekana hana kiwango hicho eti leo ndio apite
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Mukoko anapata namba simbaHakuna mchezaji wa yanga anayepata namba Simba hayupo.....
Mukoko _ nafasi yake ina lwanga, mkude, mzamiru na Fraga kama atarudi( sijui).
Tuisila_ wapi unamuona akicheza? Kama Morrison hana nafasi ya kudumu.
Lamine Moro_ wawa,onyango, kennedy, Ame.
Sio pahala pakuweka mchezaji wa yanga mimi.
Clouds acheni vituko na kuchekesha. Timu kama Simba ikimchezesha Moro atakuwa anapigwa umeme kila siku. Hachezi mpira yule anacheza mieleka. Ni vile tu yuko utopolo na wanabebwa sana kwa mchezo wao wa kihuni ndio maana mnamuona huyo Moro anajituma.
Naweza kumkubali Tuisila na Tonombe pekee ila si hao wengine. Na bado wanaweza kuanzia benchi vilevile.
Tunombe pekee mkuu tuisila simba hatuna mpira wa mbio atacheza mpira gani sasaTuisila na Tonombe tu wanaweza kucheza Simba. Tena Tuisila akikosa namba au kutokea bench
Labda wanamaanisha Simba veterani kama ipo.Clouds acheni vituko na kuchekesha. Timu kama Simba ikimchezesha Moro atakuwa anapigwa umeme kila siku. Hachezi mpira yule anacheza mieleka. Ni vile tu yuko utopolo na wanabebwa sana kwa mchezo wao wa kihuni ndio maana mnamuona huyo Moro anajituma.
Naweza kumkubali Tuisila na Tonombe pekee ila si hao wengine. Na bado wanaweza kuanzia benchi vilevile.
Na Feisal salumTuisila na Tonombe tu wanaweza kucheza Simba. Tena Tuisila akikosa namba au kutokea bench
Abaki kwenye riadhaTunombe pekee mkuu tuisila simba hatuna mpira wa mbio atacheza mpira gani sasa