Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 378
- 262
Ni kiri kuwa clouds media iko under uholozo wa ushabiki wa kipumbafu usiokuwa na faida.
Sijaona maana ya kuitazama hii TV Inayojifanya ya burudani nchini hivi nyie clouds hamuoni kama mnampromote mtu asiyekuwa na vision ya mziki wake maana nimekaa naangalia TV yenu haiwez kupita nusu saa bila kupiga ngoma zake na ma interview kibao yasiyokuwa na maana bora mpigieni promo huyo shemeji yetu wa RIP Boss
Sijaona maana ya kuitazama hii TV Inayojifanya ya burudani nchini hivi nyie clouds hamuoni kama mnampromote mtu asiyekuwa na vision ya mziki wake maana nimekaa naangalia TV yenu haiwez kupita nusu saa bila kupiga ngoma zake na ma interview kibao yasiyokuwa na maana bora mpigieni promo huyo shemeji yetu wa RIP Boss