Clouds tv 360 Timu ya Taifa hongereni sana kwa utafiti wenu huu murua wa kumuhusu Tembo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
  • Uume wake una Kilo 56 ( sawa na mfuko wa Saruji / Cement )
  • Akifanya tendo la Ndoa ( akibandua ) hutoa Shahawa za ujazo wa lita 5
  • Akimaliza kufanya tendo la ndoa ( kubandua ) hutulia kwa Saa 3 ndipo hupata nguvu
  • Mimba ya Tembo huwa ni ya miaka miwili ( 2 )
  • Mtoto wa Tembo akizaliwa huwa na Kilo kati ya 77 hadi 109
  • Tembo Dume hujua kama Jike yupo katika heat akiwa umbali wa Kilomita nne ( 4 )
  • Kinyesi chake kawaida huwa ni cha ujazo wa Ndoo tatu ( 3 ) kubwa zile za maji.
Ama kweli Clouds tv 360 nyie ni Timu ya Taifa hasa katika kutufumbua sisi tusiokuwa na ufahamu wowote wa hawa Wanyama wetu. Ni hakika kuwa kwa Kikosi hiki cha Babie Kabae, Sam Nathaniel Sasali, Hassan Ngoma na James Tupatupa mnastahili kujiita Timu ya Taifa hasa katika masuala ya Utangazaji na hamna mfano kwa sasa hapa Tanzania.

Mwenyezi Mungu awabariki mzidi kuwa Wabunifu hivyo hivyo na mfanikiwe zaidi ya hapo Kiutendaji.
 
Kwa hiyo wao ndio walifanya huo utafiti?
Huo utafiti ulifanywa bongo siyo...??!
 
Na ukikutana na kundi la tembo ujue anayeliongoza ni tembo jike kwa jina la kitaalam wanamwita (Matriarch)
 
Promo nyingine mnabidi mlipiee tu....tunao angalia ngwl nivitu vyakawaida sanaa...
 
Yule mtangazaji wa Injili jumapili Clouds tv alishadadia sana habari hii tangu wakiwa mbugani.
Nina mashaka na 'uchungaji' wake wa tv,anaonyesha ni 'mshabiki' wa mavituz
 
Yule mtangazaji wa Injili jumapili Clouds tv alishadadia sana habari hii tangu wakiwa mbugani.
Nina mashaka na 'uchungaji' wake wa tv,anaonyesha ni 'mshabiki' wa mavituz
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mbona mm sion cha ajabu kusikia hayo Leo? tangu nipo vidudu sifa za tembo nazijua
 

Kama kweli upo serious kuwasifia kwa hicho unachoita "UTAFITI" basi hakuna shaka tena kuwa wewe una IQ ndogo sana isiyoelezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…