Clouds Tv Rwanda

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,261
Reaction score
9,733
Toka jana natazama clouds tv rwanda channel namba 171 azam decoder.
Nilikuwa nadhani wanyarwanda hawajui kuimba hawana mziki mzuri ila nimestaajabu wanaimba mziki kama wa kwetu kwa kilugha chao tena wanajua kuimba zaidi ya wasanii wetu wengi.
Wana videos kali yani hata kama hujui lugha unajikuta unaenjoy mziki wao.
Nashangaa kwanini haujatoboa wakati chameleone ametoboa na kiganda chake.
Wana mziki mzuri sana aisee...
 
Chameleone gani anaimba kiganda?!

Huyu Chameleone tunaemjua nyimbo zake zote maarufu kaimba kwa kiswahili na kuchomekea chomekea maneno ya kiganda.

Kuanzia Jamila,Bei Kali,Mama Roda,Shida za dunia,Badilishia etc

Inawezekana hao wanyarwanda wanaimba vzuri ila sio wa kuwafananisha na Muziki wa Tanzania.
 
Waanzishe basi Malkia wa Nguvu Rwanda tujionee watoto wazuri sio hawa wa kwetu wametuna utadhani vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…