Clouds wamesanda kwa WCB waanza kupiga nyimbo zao

Anammiliki na mke wako pia etii!!

Nonsense..!!

umejiona mjinga sio??

mnashabikia wafanyabiashara baada ya kuwafanya mazwazwa

imeuma hee...now you know
 
Kishindana na alie kutangulia ni sawa na bure!
 
Mleta mada chukua hiyo buku hapo ununue karanga . uponze njaa ili uache kufatilia mambo ya watu
 
Nyie mnaodai Wasafi mmiliki sijui Kusaga au mke wake acheni uzwazwa nyie, mbona Microsoft dunia nzima inajulikana ni ya Bill Gates lakini anamiliki 24%? na mwenye percent kubwa sio yeye, ni aliyekuwa CEO wa Microsoft miaka km mi 4 iliyopita(jina limenitoka) ana asilimia 28 (28%). Je, nani mmiliki halali wa Microsoft?
 
Clouds Plus na Classic Fm zinatofauti gani na Clouds Tv,Fm na Choice Fm?
Hiyo ni Clouds Plus na sio CloudsTV..usichanganye madesa WCB hawasiki CloudsFm,CloudsTv na ChoiceFm
 
Clouds Plus na Classic Fm zinatofauti gani na Clouds Tv,Fm na Choice Fm?
Classic Fm na Clouds plus ni biashara nyingine za kusaga,ila hajaziintergrate moja kwa moja na Clouds media..
 
Classic Fm na Clouds plus ni biashara nyingine za kusaga,ila hajaziintergrate moja kwa moja na Clouds media..
Hmm!!hii Classic FM ndo ikoje?Classic FM si ili'change toka enzi za T.I.D ni presenter pale hadi saiv ikawa Magic FM..Au mnazungumzia Coconut FM ya Zenji ambayo ndo part ya CMG?
 
Labda walichokutana nacho kwenye zile "kura" zao kiliwaacha hoi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…