Clouds wana shobo na Alikiba hadi wanaboa

donga

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
2,555
Reaction score
5,202
Leo mawingu tv kumnadi msanii kuanzia vipindi vya asubui mpaka vya usiku na mapicha picha kwenye mitandao imekaaje? kisa tyu anaachia ngoma au ndio yale anayosema roma NGOMA INATOKA SEPTEMBER NOVEMBER IMESHACHUJA. Au ndio mbeleko ya chuma​
 
Tatizo liko wapi?
Halafu Diamond si alisema radio ambayo haichezi ngoma zake inakosa wasikilizaji?
Sasa mbona leo kutwa nzima mirejesho ya kinachoendelea clouds inaletwa humu?

Nilitegemea kusiwe kuna yoyote atakaye pay attention kwenye hicho kitu ila naona hali ni tofauti!

Wabongo tunaongoza kwa unafiki
 
Ya diamond yametoka wapi? mm naongelea kwa wasanii wote hapa kuna kua kama kuna matabaka ivi km kuoa mbna hata stamina kaoa ila hajaalikwa
 
Nadhani hata media house kubwa zina huu utaratibu wa kutumia siku nzima kwa ajili ya msanii fulani nakumbuka mwaka jana Sound City Africa wameshawahi kufanya ivi kwa hawa watoto wetu Diamond na Kiba.
Kinachoumiza hapa ni u-team na kuona ili ni jambo jipya na fulani anabebwa ila ni kawaida sana kua na siku maalumu kwa msanii fulani inategema na influence yake na nini dhumuni la siku iyo waacheni CMG waige yale yaliyo bora ili kuusukuma huu muziki.
 
Mzigo wa mwizi haubebeki
Wameachana na ASLAY&NANDY TENA,AU WASHAWATUMIA KAMA NDOM WAMEWAACHA.


JAMAA WANAHANGAIKA NA WCB MPAKA BASI,TUMEPIGIWA NYIMBO ZA ASLAY NA NANDY WEEE MPAKA KERO.

WACHA WAENDELEE KUCHUJA TU
 
Leo mawingu tv kumnadi msanii kuanzia vipindi vya asubui mpaka vya usiku na mapicha picha kwenye mitandao imekaaje? kisa tyu anaachia ngoma au ndio yale anayosema roma NGOMA INATOKA SEPTEMBER NOVEMBER IMESHACHUJA. Au ndio mbeleko ya chuma​
Tazama hili tukio kama brandy, utagundua kuwa management ya kiba inaproject ya kupromote brandy yao inayoitwa Ali Kiba na ni brandy inayoanza kuuza kinywaji ktk baadhi ya nchi za africa.


Hao kina Roma waambie watafute managements zenye balls za kukaa mezani kufanya biashara na taycoons wa media za maana hapa Tanzania kama Seven Mosha anavyofanya kazi professionally kibiashara zaidi.
 
Ya diamond yametoka wapi? mm naongelea kwa wasanii wote hapa kuna kua kama kuna matabaka ivi km kuoa mbna hata stamina kaoa ila hajaalikwa
Matabaka kwenye biashara ni muhimu sana, kwasababu kama wewe meneja wako anagongea fegi kwa presenter kuna mwenye meneja ambaye anawekeza kwenye media nzima kwa cash mezani yaani kwa kifupi meneja anayenunua air time siku nzima kupush brandy yake lazima awe tabaka tofauti kabisa na meneja wa niki mbishi ambaye anadiss mameneja na watangazaji.
 
Mzigo wa mwizi haubebeki
Wameachana na ASLAY&NANDY TENA,AU WASHAWATUMIA KAMA NDOM WAMEWAACHA.


JAMAA WANAHANGAIKA NA WCB MPAKA BASI,TUMEPIGIWA NYIMBO ZA ASLAY NA NANDY WEEE MPAKA KERO.

WACHA WAENDELEE KUCHUJA TU
Wewe unachambana mtandaoni wakati hao kina nandy, aslay nk wanavyochezwa hewani ni tangazo la biashara ambapo msanii ananunua airtime alafu anauza shows na mziki wake yaani kwakifupi tangazo la vodacom litachezwa tu siku nzima hadi bibi yako alikariri hata kama hulipendi na matokeo ya airtime hiyo wenzako wanashawishika wanunua bidhaa ya voda simu,internet, mpesa then voda wanakuwa wameshatengeza pesa ya kutosha sana ndiyomaana biashara bado zipo. So tazama hao wasanii kwa jicho la biashara alafu tafakari wewe unaingiza sh.ngapi kwa mwezi?
 
Waacheni kwani ni chombo binafsi,kwa hiyo wao wanamaamuzi yao kutokana na maslahi yao.Ila siku zote nyimbo mbaya utaijua hata ipewe promo vipi,itaishi kwa muda mfupi na nyimbo nzuri hata isipopewa promo itaendelea kuishi,kwa hiyo muda ,views ,mauzo online na rotation ya mitaani ndio vitasema nyimbo ni mbaya au ni nzuri.
 
Kizur
Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza,majibu mmtaani mzee
 
mtoa mada " bangi sio mchicha...kwahiyo unayaingilia maamuzia ya taasisi za watu...fungua na wewe media yko kisha umfanyie promo umpendae aiseee
 
Imagine kila nusu saa wanapiga nyimbo au tukio la alikiba as if hamna kitu kingine cha kuonesha au msanii mwingine vile!!...Ni kweli anafanya vizur lakin hata mpinzani wake pia anafanya vizur tena sana!!/.... Na kuna wasanii wengine pia sitaki kuamini nao wamekua kama page za utimu za instagram!!..
Mass media kubwa ivo kua ivo n ufinyu wa namna ya kuendesha media
Ama n nn!!
Tunaelewa n timu kiba yes
Nafikir wanadhan wanamkomoa diamond au wanatumia media kumpoteza diamond!!...
Kwan huwezi kumpandisha alikiba juu bila kuhangaika kumshusha dmond!!...
Waafrica bana!!

Au kuna kitu tusichokijua hapa!!
Mwenye detail amwage unga!!...
Sina timu im free thinker
Nasaport yyte anayepambana na kufanya vizur
True African
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…