[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na ww umeshindwa kujiongeza kuwa hiyo PAGE siyo ya clouds...
nyie ndio wale mnaotumaga nauli mtandaoni alafu baadae mnaanza kulia kulia [emoji23][emoji23][emoji23]
umeenda kufata nini huko kwenye page za ajabu ajabu, unashindwa hata kujiongeza
No sio page ayo; ni ya fan tu.Sio Shilawadu hiyo ya clouds?
na ww umeshindwa kujiongeza kuwa hiyo PAGE siyo ya clouds...
nyie ndio wale mnaotumaga nauli mtandaoni alafu baadae mnaanza kulia kulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ebu naomba nitumie nauli na mm insta babe kwenye no ya vodana ww umeshindwa kujiongeza kuwa hiyo PAGE siyo ya clouds...
nyie ndio wale mnaotumaga nauli mtandaoni alafu baadae mnaanza kulia kulia [emoji23][emoji23][emoji23]
We binti nimekuhamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hawa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]na ww umeshindwa kujiongeza kuwa hiyo PAGE siyo ya clouds...
nyie ndio wale mnaotumaga nauli mtandaoni alafu baadae mnaanza kulia kulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani mtoa mada tuseme uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo kabla ya kupost bandiko?
Facebook kwa watoto wa darasa ya 7(b)
nimekutumia na yakutolea insta babe ..embu cheki muamalaEbu naomba nitumie nauli na mm insta babe kwenye no ya voda