Asante kuiweka sawa hiyo. Nilikuwa sina uhakika ni yupi wa MawinguU
mekosea mkuu aliyetaka kugombea Ni Ibrahim masoud"maestro"
huyo jamaa mbona kuna wakti humuhumu watu walikuwa wakimtuhumu ni mwekundu kindakindaki?Nakubaliana na mleta mada. Mara kadhaa Shafii ameshindwa kuficha ushabiki wake kwa Yanga. Amekua akitetea hata maamuzi ya hovyo kabisa ilimradi tu yanaibeba Yanga. Ameshindwa kuwa huru na mara kadhaa chuki yake kwa Simba ipo waziwazi.
Nilikua mpenzi wa kipindi Chao cha sports extra na sport bar (clouds tv) lakini siangalii tena sababu ya huo upuuzi wao.
Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu .Hahahahahaha
Atakua anang'ata na kupuliza. Ila mm namuona Yanga tu.huyo jamaa mbona kuna wakti humuhumu watu walikuwa wakimtuhumu ni mwekundu kindakindaki?
tushike lipi?
Ni kweli shafii Ni simba damuShafii Yanga?
Huyo ni mwanachama wa Simba hadi aligombea ujumbe kama sikosei.
Labda anajaribu kuwa objective
Ni kama Kumwembe. Ni Simba lakini nitajitahidi kuwa objective japo wakati huzidiwa!
washabiki wayanga wanasema shafii simba washabiki wasimba wanasema shafii yanga..!!huwenda mkawa kundi la mashabiki msio jielewe mnaongozwa na munkari kama wanawasema vibya kwanini msibullshit hiyo redio yao kwanini hamuwatumii comment zenu kwenye page zao au sim ya hapo studio wajifunzeNakubaliana na mleta mada. Mara kadhaa Shafii ameshindwa kuficha ushabiki wake kwa Yanga. Amekua akitetea hata maamuzi ya hovyo kabisa ilimradi tu yanaibeba Yanga. Ameshindwa kuwa huru na mara kadhaa chuki yake kwa Simba ipo waziwazi.
Nilikua mpenzi wa kipindi Chao cha sports extra na sport bar (clouds tv) lakini siangalii tena sababu ya huo upuuzi wao.
ππππππ doh! Hameni tuu maana eneo hilo sii shwari.Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu .
Alipoulizwa what he will do with such kind of money?
Akasema he wants to expand his business. Mimi sijamuelewa na sasa hivi watu wameanza kuhama mtaa...
Ila simba mapaka sasa yanawarudia wenyewe, mtakoma miakaa hii, Yanga ileeeeeee inayoyoma, mtaishia mchani tu na mwakani tumo tena kimataifa zaidi. VPL tunachukua kulinda heshima.Hawa clouds kipindi cha sports wanatumika kuichafua simba na kuidhoofisha eti tunachinja paka.......ndo tushinde. walete udhibitisho!!!! Watu wengine bhnana
huyu ndo kichuya??????mi hata siwajuagiHahahahahaha