Clouds wanavyosota kumwangusha Hanstone

KILLING MONOPOLISM OF A CERTAIN TANZANIA RADIO STATION WITH USE OF THE OTHER RADIO STATION IT IS GIVING BIRTH OF THE NEW MONOPOLISM OF THE NEW RADIO, THE ONLY WAY TO COME UP IS BY CONSESUS AGREEMENT IN A COMPETITIVE WAY (Kuua radio moja ya kibeberu ya kitanzania kwa kutumia radio ama media nyingine ya kitanzania ni kutengeneza ama kuumba radio nyingine ya kibeberu, njia pekee ya kutatua jambo ama kuokoa jahazi hili ni kufikia makubaliano ya kibiashara ktk kufanya biashara ya utangazaji kwa kupeana nafasi za kawaida za kiushindani, The grass are only living things get hurt on horse race🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼.
 
(Verse1) Mie samaki baharini..Chozi langu bure tu kwa maji lateketea..//
Sasa ntafanya nini..Na umesema nisijikune nisidiriki ata kuongea..//
Maapenzii..Kama kuna mwalimu anipeleke shule..//
Mie siwezi..Kila nachofanya ni sawa na bure..//
Mie mwenzako sijazoea../
Kitu kidogo wanifokea../
Mie toto dogo sijaanza tembea../
Iweje wanikimbizaaa.. (Pre-Chorus)
Lenye sura halikosi kisogo./
Unafuraga mithili ya mbogo./
Huna kubwa huna ata dogo./
Ooh mazigzaga bando kwa gogo./
Naimiss chaga futa mkorogo./
Unanipimiaga nusu kwa robo./ (Chorus)
Aacha lipitee..acha tu liende zake../
Aacha lipitee..Nitapishana na mengine../Aacha lipitee maana hujaanza leo hujaanza jana aachaa lipitee Hmmm."Ngoma tamu sana hii,naiskiliza muda huu"
 
mkuu acha kudanganya watu..

ngoma ya chibonge ile aliyopo G nako ndiyo original na ndiyo maana ikatangenezewa na video pia sio wimbo wa mario wala hanstone, zote(OG + RMX) ni nyimbo za producer Abbah..

alaf kuna sehemu umeandika I miss you mama ni wimbo bora kuwahi kutokea kwenye mziki wa bongofleva...ACHA BHANGE...
 
Mbona simjui Hata,anawezaje kushindanishwa na mbosso khaaaaaaaan?????
 
Una ngoma ya Vina mpya?
 
Baadae kijana Hugo aliamua kutoa ngoma yake mwenyewe 'acha lipite' akaja na 'i miss you mama' ngoma bora kuwahi kutokra kwenye historia ya bongo fleva
yaani hizo ngoma ndio nazisikia leo kwako mkuu. halafu kumfananisha huyu dogo na mbosso sio fair
 
Duh! Kweli huu mchezo hauhitaji hasira

Ila kwakweli naipenda chibonge ya marioo na hans
 
Huu n ukwel usiopingika...clouds hua n brand kubwa ila wanajisahau na kujipa umungu watu...
..hua wanatakaga kumtumia msanii watakavyo msanii ukikataa unazimwa ...na tunawajua wasanii wengi wakali ambao clouds imehusika kwa njia moja au nyingine kuwapoteza ... @R.I.p ngwea ukwel kuhusu kifo chako mungu na baadh ya watu wanaujua #R.I.p king zilla mfalme wa salasala pole sana kwa kukufananisha na bishoo bilnenga..
...
...Na hata hivo kinachotaka kumkuta hans stone n kumvuruga sociological apotee
Wanasahau kua mungu ndo anagawa rizk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…