una uhakika?au ndio haraka ya kupost?watu wanazungumza tetesi wewe ushacomfirm dahhhhhhhhhhhhh wabongo tunakwama wapi?Wasafi Fm wameripoti kuwa chama anaondoka Simba.
Naona mistake ingine,pengo la kotei mpaka leo linaonekana,halafu chama tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shishimbi kamaliza mkataba wakeIla kwa bongo sishangai,yote yanawezekana.kama iliwezekana kwa shishimbi inashindwaje kwa chama,nani kaona akisaini mkataba.tatizo soka la bongo ukanjanja mwingi hakuna uwazi,wamejaa wapiga dili tu.
Sie timu letu la ovyo linashika nafasi ya ngapi kwenye ligi na wewe timu lako bora linashika nafasi ya ngapi? Tuanzie hapo kwanza!baada ya kufungwa na timu ya 'wananchi' washabiki na wamiliki wa simba ( wale wahindi wale) walimshutumu sana huyu dogo kuwa alicheza chini cha kiwango, alikuwa anachelewa sana kutoa pasi, alikuwa amwagi 'maji' alikuwa anakaa na mpira etc kitu ambacho kilimchukiza sana huyu dogo, kama ame opti kuondoka kweny litim lenu hilo la ovyo ovyo tatizo ni nyie mikia wenyewe
Yaan screenshot ya 1 july 2019 ndo inakufariji. Its 2020 dude anything can happen ni suala la pesa tu kama kuna timu nje inamtaka si inavunja kibubu tu kisha anaondokaSisi humu ni GTs,ni marufuku kukurupukia vitu. Uzushi tuwaachie wazushi.
Chama anaweza kuachiwa kwa timu kubwa ya nje tu na ni kwa kuvunja mkataba
View attachment 1400859
Huyu ni Chama baada ya kuongeza mkataba
Ndio ila mwanzo walisema kaongeza kumbe feki.ilikuwa kuwafulahisha mashabiki tu.ndio maana nikasema yakawa kama shishimbi.Shishimbi kamaliza mkataba wake
Chama kwa mikono yake aliandika mkuu......Ndio ila mwanzo walisema kaongeza kumbe feki.ilikuwa kuwafulahisha mashabiki tu.ndio maana nikasema yakawa kama shishimbi.
Sawa muda utaongea..Chama kwa mikono yake aliandika mkuu......
Simba inayoendeshwa kisasa....haiwezi toa taarifa za uongo tena mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa muda utaongea..
Wasafi Fm wameripoti kuwa chama anaondoka Simba.
Naona mistake ingine,pengo la kotei mpaka leo linaonekana,halafu chama tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hii ya wachezaji wabeba pawabenk au ipi mkuu inayoendeshwa kisasaChama kwa mikono yake aliandika mkuu......
Simba inayoendeshwa kisasa....haiwezi toa taarifa za uongo tena mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app