Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Hata huyo tshishimbi mnaemkimbilia alisaini mwaka Jana miaka miwili ila Leo mnafurahia kusikia yuko free na anataka kuja kwenu. Mnakomaa nankibanzi kilichopo jichoni mwa jirani yenu!Sisi humu ni GTs,ni marufuku kukurupukia vitu. Uzushi tuwaachie wazushi.
Chama anaweza kuachiwa kwa timu kubwa ya nje tu na ni kwa kuvunja mkataba
View attachment 1400859
Huyu ni Chama baada ya kuongeza mkataba
Kakuonesha? Mwaka Jana alisaini na kutuambia ameongeza miaka miwili ila Leo mnakomaa kusema chama bado ana mwaka mmoja simba na tshishimbi amemaliza mkataba wake. Yaweza kuwa ni same scenario hii ni bongoShishimbi kamaliza mkataba wake
Yaani yanga ivunje bank kisa chama? Utakuwa ujuhaKama dau limefikiwa si tatizo. Pesa ndio kila kitu, team ziweke mzigo kumvunjia mkataba hata yanga kama wanaweza.
Mchezaji kutoka timu moja kwenda nyingine ni jambo la kawaida sanaWasafi Fm wameripoti kuwa chama anaondoka Simba.
Naona mistake ingine,pengo la kotei mpaka leo linaonekana,halafu chama tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo kama umerogwa ha ha ha umetiwa upofu na kina ManaraChama kwa mikono yake aliandika mkuu......
Simba inayoendeshwa kisasa....haiwezi toa taarifa za uongo tena mkuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na si hitaji la yanga kwa sasa mana kwa sasa yanga kuna wachezaji bora zaidi ktk namba yakeMda...utaongea mkuu......
Ila sidhani kaYanga wanaweza miliki mchezaji kaliba ya chama...
Kwangu Mimi chama....ndo mchezaji ghali zaidi Tanzania....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kuna uwezekano timu kubwa nje ikawa unataka? Oh yaani kama Samatta sio?Yaan screenshot ya 1 july 2019 ndo inakufariji. Its 2020 dude anything can happen ni suala la pesa tu kama kuna timu nje inamtaka si inavunja kibubu tu kisha anaondoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tutajie huyo mchezaji bora kuliko chama katika hiyo namba yakeNa si hitaji la yanga kwa sasa mana kwa sasa yanga kuna wachezaji bora zaidi ktk namba yake
Ni maskini tu ndo wanaamini ushirikina....Hii
Hii hii ya wachezaji wabeba pawabenk au ipi mkuu inayoendeshwa kisasa
Kakuonesha? Mwaka Jana alisaini na kutuambia ameongeza miaka miwili ila Leo mnakomaa kusema chama bado ana mwaka mmoja simba na tshishimbi amemaliza mkataba wake. Yaweza kuwa ni same scenario hii ni bongo
Upo kama umerogwa ha ha ha umetiwa upofu na kina Manara
Na si hitaji la yanga kwa sasa mana kwa sasa yanga kuna wachezaji bora zaidi ktk namba yake
Amesema yeye mwenyewe juzi kwenye interview yake na global tv ya kuwa mkataba wake amebakisha miezi michache. Itafuta uiangalie. Sio Mimi mkuu😂Kakuonesha? Mwaka Jana alisaini na kutuambia ameongeza miaka miwili ila Leo mnakomaa kusema chama bado ana mwaka mmoja simba na tshishimbi amemaliza mkataba wake. Yaweza kuwa ni same scenario hii ni bongo
Uongo mwingine bhna
Alafu hiyo wasafi FM sitakaa niisikilize
hapa shishimbi kaingiaje,huyu vipi. jibu fact zilizoweka kuhusu ChamaHata huyo tshishimbi mnaemkimbilia alisaini mwaka Jana miaka miwili ila Leo mnafurahia kusikia yuko free na anataka kuja kwenu. Mnakomaa nankibanzi kilichopo jichoni mwa jirani yenu!
Tatozo ni 2019 au tatizo ni screenshot inasemaje?Kwamba Yanga inaweza kuvunja mkataba wa Chama na Simba.Kunywa maji mengi bro kichwa itulieYaan screenshot ya 1 july 2019 ndo inakufariji. Its 2020 dude anything can happen ni suala la pesa tu kama kuna timu nje inamtaka si inavunja kibubu tu kisha anaondoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nyonzima alikuwa anawekwa bench na chama Simba wakati kwenu ameingia moja kwa moja kikosi Cha kwanza mbona mnahangaika na kina ndemla na mpilipili ambao hawana namba Simba kwa kifupi mnawatamani Ila uwezo hamnaChama kama anaenda mwingine sawa ila kwetu sisi Yanga sioni namba ya chama mana tuna mafundi Wa kutosha tu na chama ni Mzee, na namba ya chama si hitaji la yanga